Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Saudia wanatoa hela nyingi zaidi kuliko hela wanazoingiza hapo Mecca na Madina, sometime kuna project hazina hata maana zinawekezwa tu.Kwa waislamu maka na madima ni sehemu takatifu sana.
Kwa wasaudia maka na madina ni historical sites tu kwaajili ya kuwaingizia pesa.
Hata Covid sio sio siri ni Ugonjwa uliotengenezwa kuua watu weusi,
Ashkenaz jews ndio binadamu ambao damu zao zipo strong vs Covid na wabantu ndio damu ambayo ipo weak vs Covid,
View: https://x.com/Resist_05/status/1682168651590569984
Alianza JF keneddy Jr na kuna studies kibao zimefanyika kubackup hio claim.
Umepiga kwenye utosi,kobazi wanahemewa.Kwa waislamu maka na madima ni sehemu takatifu sana.
Kwa wasaudia maka na madina ni historical sites tu kwaajili ya kuwaingizia pesa.
1. Bongo watu walikua loose, hii ishazungumziwa siku nyingi viral diseases zinaathiri sana maeneo yenye baridi kuliko kwenye joto, watu weusi ambao walikua Marekani na Ulaya Fatality rate ilikuwa ni kubwa kushinda race yoyote ileKwa hiyo kwa kuwa haiwaathiri Chinese au Jews ina maana kuwa ndo ilitengenezwa specifically for black people?
Unajua kuna races ngapi duniani?
Hapa Bongo tulikuwa na very loose lifestyle wakati wa COVID tulikufa wengi kama Wachina?
Niletee article au video clip ya RFK Jr akisema kuwa Covid ililetwa ili kuangamiza black people?
Victim mindset itawamaliza black people.
Yaani Covid itengenezwe kwa ajili yenu alafu first outbreak itokee China? Kwanini isingeanzia Congo huko?
Kama wameruhusu mapenzi na ndoa za jinsia moja siyo taifa chafu hilo?Eti taifa chafu, una akili timamu kweli
Neno Waafrica kwenye uzi wa jamaa umelitoa wapi? Hakuna sehemu kasema eti HIV ilitengenezwa kwa ajili ya kuua Waafrica; hebu msome tenaKwanza kabisa the idea kwamba HIV ilitengnezwa kumaliza Waafrika ni uongo. As we speak kuna Wamarekani Milioni 1.2 wanaishi na virusi vya UKIMWI
The idea that kuna watu walikaa wakaja na mpango wa kuwapunguza Waafrika via HIV ni facade. Tunajipa umuhimu sana. We are not a threat to Americans.
We could have that discussion kama sisi tungekuwa Warusi au Wachina
Secondly, Marekani alikuwa na uwezo na mamlaka ya kutotupa hizo ARV bure hata kama UKIMWI ulitokea huko. Sio kwamba ni lazima wao watoe hiyo funding ya ARV kwa Tanzania.
Hivi ushawahi kuwaza ARV zingekuwa zinauzwa ni watu wangapi wangekufa hadi sasa hivi?