Je, ni sahihi mke/mume/wapenzi kupostiana mitandaoni?

Je, ni sahihi mke/mume/wapenzi kupostiana mitandaoni?

Kumpost Aina Yeyote ya Mwenza kwenye mitandao halijawahi kuwa ishara ya upendo wowote...

Wengi wanafanya hivyo kwa malengo tofauti....

Mwanamke anaweza mpost Huyo Mwenza was kiume mtandaoni aidha kwa kutaka kujua yupo mwenyewe, au kumkomoa mwanamke wa Ndoa ili afanikishe adhima yake ya kuachana au kumkomoa Yule wanaae shindana naye kwenye hicho kinyang'anyiro..

Kumbuka Mwanaume asiye na ukwasi hawezi kupositiwa na Mwanamke mitandaoni..

Mwanaume kumpost Mwenza wake, wengi hufanya kwa shinikizo la upande wa mwanamke ili kukridhisha kuwa yupo mwenyewe..

Kumbuka Mwanaume mwenye Mwanamke asiye na nyazifa Fulani hawezi postiwa na Mwenza wake wa kiume..

Wengine wanaofanya hivyo bila kuwa na dhumuni lolote Ni watoto wa miaka chini ya 27 kushuka chini.

Nawasilisha
Hahaha watoto wa miaka 27
 
Sitasahau ile siku niliyoachwa na aliyekuwa mpenzi wangu.nakumbuka kuna demu alinipa kazi niiprint t shirt yake ya birthday pamoja na kudesign poster ya birthday yake..Nikafanya kazi,akanilipa pesa yangu,nikamtumia kazi yake kisha nikaipost pia kwenye accounts zangu zote..

Nakumbuka hiyo ndy ilikuwa sababu ya kuachwa na mpenzi wangu,nilitumia kila mbinu kujitetea kwa Rose wangu nikamwambia Ile ni kazi Tu na nimelipwa alichonijibu ni Kwa nn yeye sijawahi kumpost hata siku moja lkn hawa 'malaya zangu' kila siku nawapost mitandaoni,amenichoka na hii Tabia ya umelaya
[emoji23][emoji23][emoji23]Rose kama Rose
 
Kumpost mpenzi wako mtandaoni ni lack of confidence hii inatokea kwa watu ambao hawajikubaliii

Sasa unampost mpenzi wako mtandaoni je ikitokea umeachwa
 
To each their own.

Simu yako, vocha yako hamna kupangiana cha kupost.
 
Back
Top Bottom