Je, ni sahihi mtu kujiita Kiboko ya Wachawi?

Je, ni sahihi mtu kujiita Kiboko ya Wachawi?

Setfree

JF-Expert Member
Joined
Dec 25, 2024
Posts
1,679
Reaction score
2,123
Kimaandiko, kujiita "Kiboko ya Wachawi" sio sahihi kwa sababu inahamasisha kiburi na kujitwalia mamlaka ambayo ni ya Mungu pekee.

Sababu za Kimaandiko:
Yesu ndiye anayeangamiza kazi za shetani
1 Yohana 3:8 – "Kwa sababu hii Mwana wa Mungu alidhihirishwa, ili azivunje kazi za Shetani."
Yesu ndiye mwenye mamlaka ya kuharibu kazi za shetani.

Hata wanafunzi walipopewa mamlaka ya kutoa pepo, waliambiwa watafanya hivyo kwa Jina la Yesu, sio kwa nguvu zao.
Marko 16:17 (SUV)
"Na ishara hizi zitafuatana na hao waaminio; kwa jina langu watatoa pepo, watasema kwa lugha mpya."

Luka 10:17
"Na wale sabini na wawili wakarudi kwa furaha wakisema, Bwana, hata pepo wametutii kwa jina lako."

Kwa Maandiko hayo tunaona kuwa ushindi dhidi ya wachawi na nguvu za giza unatokana na uwezo wa Jina la Yesu, sio nguvu za mtu binafsi. Hivyo ni bora tukawa wanyenyekevu kuliko kujitukuza na kujipa majina makubwa.
Yakobo 4:6-7 – "Mungu huwapinga wenye kiburi, bali huwapa wanyenyekevu neema..."

Badala ya mtu kujiita "Kiboko ya Wachawi," afadhali aseme:
"Mimi ni mtumwa wa Yesu Kristo au mimi ni mtumishi wa Mungu aliye hai."
 
Kama mtu ameona kuna wajinga wengi huko asitafute brand name? Hilo ni jina la kibiashara , hata mimi maisha yakinipiga sana nafungua kanisa nakuja na mafuta ya nazi yanabadilisha jina alafu najiita mzee wa kuwapaka napiga hela alafu napotea
 
Kimaandiko, kujiita "Kiboko ya Wachawi" sio sahihi kwa sababu inahamasisha kiburi na kujitwalia mamlaka ambayo ni ya Mungu pekee.

Sababu za Kimaandiko:
Yesu ndiye anayeangamiza kazi za shetani
1 Yohana 3:8 – "Kwa sababu hii Mwana wa Mungu alidhihirishwa, ili azivunje kazi za Shetani."
Yesu ndiye mwenye mamlaka ya kuharibu kazi za shetani.

Hata wanafunzi walipopewa mamlaka ya kutoa pepo, waliambiwa watafanya hivyo kwa Jina la Yesu, sio kwa nguvu zao.
Marko 16:17 (SUV)
"Na ishara hizi zitafuatana na hao waaminio; kwa jina langu watatoa pepo, watasema kwa lugha mpya."

Luka 10:17
"Na wale sabini na wawili wakarudi kwa furaha wakisema, Bwana, hata pepo wametutii kwa jina lako."

Kwa Maandiko hayo tunaona kuwa ushindi dhidi ya wachawi na nguvu za giza unatokana na uwezo wa Jina la Yesu, sio nguvu za mtu binafsi. Hivyo ni bora tukawa wanyenyekevu kuliko kujitukuza na kujipa majina makubwa.
Yakobo 4:6-7 – "Mungu huwapinga wenye kiburi, bali huwapa wanyenyekevu neema..."

Badala ya mtu kujiita "Kiboko ya Wachawi," afadhali aseme:
"Mimi ni mtumwa wa Yesu Kristo au mimi ni mtumishi wa Mungu aliye hai."
Musa alifanya miujiza mingi lakini si kwa uwezo wake, ndio sababu anaitwa Mtumishi wa Mungu
Ufunuo 15:3
"Wakaimba wimbo wa Musa, mtumishi wa Mungu..."
 
hata mimi maisha yakinipiga sana nafungua kanisa najiita mzee wa kuwapaka
Duh, kazi ipo,
Kweli siku ya mwisho itakuwa ya kilio na kusaga meno kwa wengi
 
  • Thanks
Reactions: Cyb
Vipi kujiita Mzee wa upako
Kama amepewa jina hilo kwa sababu ya nguvu au upako wa Mungu uliomo ndani yake, basi si vibaya watu wakimwita hivyo.

Lakini kama anajiita hivyo kwa kujitukuza au kutaka kuonekana wa kipekee, sio sahihi kibiblia.

Yesu aliwakemea watu waliopenda majina ya heshima; katika Mathayo 23:8-12 anasema: "msiitwe rabi, kwa kuwa mwalimu wenu ni mmoja, naye ni Kristo."

Katika Yeremia 9:23-24 SRUV tunaonywa pia tusijisifu:
"BWANA asema hivi, Mwenye hekima asijisifu kwa sababu ya hekima yake, wala mwenye nguvu asijisifu kwa sababu ya nguvu zake, wala tajiri asijisifu kwa sababu ya utajiri wake; bali ajisifuye na ajisifu kwa sababu hii, ya kwamba ananifahamu mimi, na kunijua, ya kuwa mimi ni BWANA, nitendaye wema, na hukumu, na haki, katika nchi; maana mimi napendezwa na mambo hayo, asema BWANA."

Kwa Andiko hilo hata aliye na upako asijisifu.
 
Kama amepewa jina hilo kwa sababu ya nguvu au upako wa Mungu uliomo ndani yake, basi si vibaya watu wakimwita hivyo.

Lakini kama anajiita hivyo kwa kujitukuza au kutaka kuonekana wa kipekee, sio sahihi kibiblia.

Yesu aliwakemea watu waliopenda majina ya heshima; katika Mathayo 23:8-12 anasema: "msiitwe rabi, kwa kuwa mwalimu wenu ni mmoja, naye ni Kristo."

Katika Yeremia 9:23-24 SRUV tunaonywa pia tusijisifu:
"BWANA asema hivi, Mwenye hekima asijisifu kwa sababu ya hekima yake, wala mwenye nguvu asijisifu kwa sababu ya nguvu zake, wala tajiri asijisifu kwa sababu ya utajiri wake; bali ajisifuye na ajisifu kwa sababu hii, ya kwamba ananifahamu mimi, na kunijua, ya kuwa mimi ni BWANA, nitendaye wema, na hukumu, na haki, katika nchi; maana mimi napendezwa na mambo hayo, asema BWANA."

Kwa Andiko hilo hata aliye na upako asijisifu.
Lakini nickname nyingine si zinaruhusiwa au
 
Kimaandiko, kujiita "Kiboko ya Wachawi" sio sahihi kwa sababu inahamasisha kiburi na kujitwalia mamlaka ambayo ni ya Mungu pekee.

Sababu za Kimaandiko:
Yesu ndiye anayeangamiza kazi za shetani
1 Yohana 3:8 – "Kwa sababu hii Mwana wa Mungu alidhihirishwa, ili azivunje kazi za Shetani."
Yesu ndiye mwenye mamlaka ya kuharibu kazi za shetani.

Hata wanafunzi walipopewa mamlaka ya kutoa pepo, waliambiwa watafanya hivyo kwa Jina la Yesu, sio kwa nguvu zao.
Marko 16:17 (SUV)
"Na ishara hizi zitafuatana na hao waaminio; kwa jina langu watatoa pepo, watasema kwa lugha mpya."

Luka 10:17
"Na wale sabini na wawili wakarudi kwa furaha wakisema, Bwana, hata pepo wametutii kwa jina lako."

Kwa Maandiko hayo tunaona kuwa ushindi dhidi ya wachawi na nguvu za giza unatokana na uwezo wa Jina la Yesu, sio nguvu za mtu binafsi. Hivyo ni bora tukawa wanyenyekevu kuliko kujitukuza na kujipa majina makubwa.
Yakobo 4:6-7 – "Mungu huwapinga wenye kiburi, bali huwapa wanyenyekevu neema..."

Badala ya mtu kujiita "Kiboko ya Wachawi," afadhali aseme:
"Mimi ni mtumwa wa Yesu Kristo au mimi ni mtumishi wa Mungu aliye hai."
Caterpillar, Transformer, Chuma relief, mzee wa upako
 
Kimaandiko, kujiita "Kiboko ya Wachawi" sio sahihi kwa sababu inahamasisha kiburi na kujitwalia mamlaka ambayo ni ya Mungu pekee.

Sababu za Kimaandiko:
Yesu ndiye anayeangamiza kazi za shetani
1 Yohana 3:8 – "Kwa sababu hii Mwana wa Mungu alidhihirishwa, ili azivunje kazi za Shetani."
Yesu ndiye mwenye mamlaka ya kuharibu kazi za shetani.

Hata wanafunzi walipopewa mamlaka ya kutoa pepo, waliambiwa watafanya hivyo kwa Jina la Yesu, sio kwa nguvu zao.
Marko 16:17 (SUV)
"Na ishara hizi zitafuatana na hao waaminio; kwa jina langu watatoa pepo, watasema kwa lugha mpya."

Luka 10:17
"Na wale sabini na wawili wakarudi kwa furaha wakisema, Bwana, hata pepo wametutii kwa jina lako."

Kwa Maandiko hayo tunaona kuwa ushindi dhidi ya wachawi na nguvu za giza unatokana na uwezo wa Jina la Yesu, sio nguvu za mtu binafsi. Hivyo ni bora tukawa wanyenyekevu kuliko kujitukuza na kujipa majina makubwa.
Yakobo 4:6-7 – "Mungu huwapinga wenye kiburi, bali huwapa wanyenyekevu neema..."

Badala ya mtu kujiita "Kiboko ya Wachawi," afadhali aseme:
"Mimi ni mtumwa wa Yesu Kristo au mimi ni mtumishi wa Mungu aliye hai."
Hakuna kosa. Anaweza kujiita hata kinyesi akitaka
 
Kama amepewa jina hilo kwa sababu ya nguvu au upako wa Mungu uliomo ndani yake, basi si vibaya watu wakimwita hivyo.

Lakini kama anajiita hivyo kwa kujitukuza au kutaka kuonekana wa kipekee, sio sahihi kibiblia.

Yesu aliwakemea watu waliopenda majina ya heshima; katika Mathayo 23:8-12 anasema: "msiitwe rabi, kwa kuwa mwalimu wenu ni mmoja, naye ni Kristo."

Katika Yeremia 9:23-24 SRUV tunaonywa pia tusijisifu:
"BWANA asema hivi, Mwenye hekima asijisifu kwa sababu ya hekima yake, wala mwenye nguvu asijisifu kwa sababu ya nguvu zake, wala tajiri asijisifu kwa sababu ya utajiri wake; bali ajisifuye na ajisifu kwa sababu hii, ya kwamba ananifahamu mimi, na kunijua, ya kuwa mimi ni BWANA, nitendaye wema, na hukumu, na haki, katika nchi; maana mimi napendezwa na mambo hayo, asema BWANA."

Kwa Andiko hilo hata aliye na upako asijisifu.
Kwahiyo kàma wafuasi wake bdo walimwita kiboko ya wachawi ni sawa?
 
Back
Top Bottom