JE ni SAHIHI
Habari ndugu zangu wanajamvi poleni na shughuli za kutafuta mkate wa kila siku, kuna jambo nimeliona mahali nikaona ni vyema niwashirikishe magreat thinkers of bongo land.
Ilikuwa mida ya saa mbili usiku ndani ya jiji la Mbeya nilikuwa naenda mgahawani kupata chakula cha usiku, nikapita karibu na guest house nikasikia nje ya guest house kuna mwanamke anapigwa sababu kamfuatilia mume wake guest house ambako mme kapeleka michepuko.
Mume aliamua kumshushia kipigo mke wake. Hapo ndio nauliza je mume alifanya uamuzi sahihi?
Habari ndugu zangu wanajamvi poleni na shughuli za kutafuta mkate wa kila siku, kuna jambo nimeliona mahali nikaona ni vyema niwashirikishe magreat thinkers of bongo land.
Ilikuwa mida ya saa mbili usiku ndani ya jiji la Mbeya nilikuwa naenda mgahawani kupata chakula cha usiku, nikapita karibu na guest house nikasikia nje ya guest house kuna mwanamke anapigwa sababu kamfuatilia mume wake guest house ambako mme kapeleka michepuko.
Mume aliamua kumshushia kipigo mke wake. Hapo ndio nauliza je mume alifanya uamuzi sahihi?