Je, ni sahihi mume kumpiga mke kisa kamfumania nyumba ya kulala wageni?

Je, ni sahihi mume kumpiga mke kisa kamfumania nyumba ya kulala wageni?

mew 123

Member
Joined
May 20, 2024
Posts
24
Reaction score
25
JE ni SAHIHI

Habari ndugu zangu wanajamvi poleni na shughuli za kutafuta mkate wa kila siku, kuna jambo nimeliona mahali nikaona ni vyema niwashirikishe magreat thinkers of bongo land.

Ilikuwa mida ya saa mbili usiku ndani ya jiji la Mbeya nilikuwa naenda mgahawani kupata chakula cha usiku, nikapita karibu na guest house nikasikia nje ya guest house kuna mwanamke anapigwa sababu kamfuatilia mume wake guest house ambako mme kapeleka michepuko.

Mume aliamua kumshushia kipigo mke wake. Hapo ndio nauliza je mume alifanya uamuzi sahihi?
 
Kwanza yeye huyo mwanamke guest house alikuwa anatafta nn mpaka akutane na mme wake uko? Kama nimim namgeuzia kibao kwa hoja hyo?
 
Kumpiga mtu mzima aliyeamua kwa hiari yake kubadili ladha kwa mwanaume mwingine ni ujinga.

Kumuoa haimaanishi kuwa atakupa wewe tu utamu wake maisha yake yote.
 
FB_IMG_1722208613220.jpg
 
Kumpiga mtu mzima aliyeamua kwa hiari yake kubadili ladha kwa mwanaume mwingine ni ujinga.

Kumuoa haimaanishi kuwa atakupa wewe tu utamu wake maisha yake yote.
Hapo,aliyefumaniwa ni mume.Lakini,pamoja na kufumaniwa na mkewe akaanza kumpiga.
 
Back
Top Bottom