- Thread starter
- #21
Kwahiyo Sasa hv anayefumania ndio anayepigwaHapo,aliyefumaniwa ni mume.Lakini,pamoja na kufumaniwa na mkewe akaanza kumpiga.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwahiyo Sasa hv anayefumania ndio anayepigwaHapo,aliyefumaniwa ni mume.Lakini,pamoja na kufumaniwa na mkewe akaanza kumpiga.
Naamini ndiyo lengo hasa la uzi kupata jibu la swali hilo.Naona si sawa.Mke hakupaswa kupigwa.Kwahiyo Sasa hv anayefumania ndio anayepigwa?
Kwenye mahusiano kuna mengi sana na wengi huhukumu kulingana na silika zao badala ya uhalisiaJE ni SAHIHI
Habari ndugu zangu wanajamvi poleni na shughuli za kutafuta mkate wa kila siku, kuna jambo nimeliona mahali nikaona ni vyema niwashirikishe magreat thinkers of bongo land.
Ilikuwa mida ya saa mbili usiku ndani ya jiji la Mbeya nilikuwa naenda mgahawani kupata chakula cha usiku, nikapita karibu na guest house nikasikia nje ya guest house kuna mwanamke anapigwa sababu kamfuatilia mume wake guest house ambako mme kapeleka michepuko.
Mume aliamua kumshushia kipigo mke wake. Hapo ndio nauliza je mume alifanya uamuzi sahihi?