Je, ni sahihi nguo za ndani zianikwe nje zikauke na jua?

Je, ni sahihi nguo za ndani zianikwe nje zikauke na jua?

Je huko dukani ulishaona zikifichwa??
Unaficha chuppi ya elfu tano uvunguni lakini gari ya milioni 8 unailaza nje,una akili kweli wewe
[emoji1][emoji1] safi Sanaa. Dukani zinaachwa wazi wazi tu. Na hata wengine wanatembeza mitaani huwa wanazishika mkononi na kutembea nazo Tena wanaume. Lkn mtu akianika kwake anaonekana eti amevunja Sheria ya nchi . Ajabu kwa kweli
 
Baadhi ya wanawake wanatabia ya kuanika chupi kwenye kamba bila kujali wanaishi na nani , je iko sawa?
Haina shida ila kama ni wakike mwanaume asiye mume wako kama ni mwerevu akisha jua nguo zako za ndani na rangi zake ni rahisi sana pakuanzia kukutongoza na akikazia lazima akutie bila hata kupa buku
 
Je huko dukani ulishaona zikifichwa??
Unaficha chuppi ya elfu tano uvunguni lakini gari ya milioni 8 unailaza nje,una akili kweli wewe
Haina shida ila kama ni wakike mwanaume asiye mume wako kama ni mwerevu akisha jua nguo zako za ndani na rangi zake ni rahisi sana pakuanzia kukutongoza na akikazia lazima akutie bila hata kupa buku
 
Nyie ndio ndiomaana wake zenu wamejaa fungus kisa mila za kiboya kuanika chupi chini ya godoro hata tunapochepuka nao wanatukata stimu unakuta demu amechakaa hata k huwezi kunyonya kwa fungus hadi unajiuliza mume wake anaona hii kitu na anajisikiaje? Acheni wake zenu waanike chupi juani hata sisi tuinjoi mapenzi.
 
[emoji1][emoji1] safi Sanaa. Dukani zinaachwa wazi wazi tu. Na hata wengine wanatembeza mitaani huwa wanazishika mkononi na kutembea nazo Tena wanaume. Lkn mtu akianika kwake anaonekana eti amevunja Sheria ya nchi . Ajabu kwa kweli
Mambo ya kushangaza sana haya ahaaaa
 
Baadhi ya wanawake wanatabia ya kuanika chupi kwenye kamba bila kujali wanaishi na nani je, iko sawa?
Ni vyema kuanika nje ili zikauke moja kwa moja, badala ya kuanika ndani ambapo zinatengeneza uvundo kwanza ambacho ni chanzo cha fagasi na bakteria.

Kwa wale wanaoishi na ndugu wasiostaili kuona nguo zao za ndani au mazingira yotote yasiyo rafiki ni vyema kuweka KANGA nyepesi na kubana/ vibanio juu yake ili iendelee kufunika.
 
Ni vyema kuanika nje ili zikauke moja kwa moja, badala ya kuanika ndani ambapo zinatengeneza uvundo kwanza ambacho ni chanzo cha fagasi na bakteria.

Kwa wale wanaoishi na ndugu wasiostaili kuona nguo zao za.ndani, ni vyema kuweka KANGA nyepesi na kubana/ vibanio juu yake ili iendelee kufunika.
Chupi bwanga bwanga....
 
Sisi tunaoanika juani na wanaoanika kwenye Chaga za kitanda au madirishani wote tupo sahihi.

Kila mtu afanye anavyoona ni sawa Kwa afya ya sehemu zake za Siri.
 
sio
Ni sawa kwa sababu jua (mwanga) unaua vijimelea haya masuala ya kuanika nguo za ndani chini ya godoro na kwenye giza yanachangia wanawake wengi kuwa na infection
sio kweli ukifua nguo kwa maji ya sabuni bac iyo infection haina tena nafasi muhim sabuni inauwa kila kitu ndio maana tunashauriwa tukitoka chooni tunawe tena na sabuni
 
Back
Top Bottom