sio
sio kweli ukifua nguo kwa maji ya sabuni bac iyo infection haina tena nafasi muhim sabuni inauwa kila kitu ndio maana tunashauriwa tukitoka chooni tunawe tena na sabuni
Kuna kitu kinaitwa taboo, imajini unaona chupi ya mama yako ama baba yako ama ya mkwe wako, camooon be civil[emoji1][emoji1] safi Sanaa. Dukani zinaachwa wazi wazi tu. Na hata wengine wanatembeza mitaani huwa wanazishika mkononi na kutembea nazo Tena wanaume. Lkn mtu akianika kwake anaonekana eti amevunja Sheria ya nchi . Ajabu kwa kweli
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]hapo sasaJe, huko dukani ulishaona zikifichwa?
Unaficha chupi ya elfu tano uvunguni lakini gari ya milioni 8 unailaza nje, una akili kweli wewe
[emoji23][emoji23]Je, huko dukani ulishaona zikifichwa?
Unaficha chupi ya elfu tano uvunguni lakini gari ya milioni 8 unailaza nje, una akili kweli wewe
Weeh jua linaua bacteriaJua muhimu sana
[emoji23][emoji23][emoji119]Je, huko dukani ulishaona zikifichwa?
Unaficha chupi ya elfu tano uvunguni lakini gari ya milioni 8 unailaza nje, una akili kweli wewe