Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kupigana hadharani ni kosa kwa yeyote hapa nchini kasoro kama wanapigana kwenye ukumbi uliokubalika kisheria kama vile kwenye mchezo wa ndondi.Inaonekana dereva wa polisi alimuacha Afande mwenzake kwa bahati mbaya sasa wamekuja kukutana mtaani wakaanza kutukanana na baadaye wakaanza kupigana.
Je, ni sahihi Polisi kupigana hadharani?
Walevi hao sweka ndani nao.Inaonekana dereva wa polisi alimuacha Afande mwenzake kwa bahati mbaya sasa wamekuja kukutana mtaani wakaanza kutukanana na baadaye wakaanza kupigana.
Je, ni sahihi Polisi kupigana hadharani?
Mbona ni kawaida sana kuwapiga picha wakiwa kitaa, siku hizi kuna mpaka saa zenye kamera yaani unachukua tukio pasipo mhusika kugundua kwamba anapigwa picha.Yaani niwapige polisi picha? Unanitakia mema?
Mhh! Hao majamaa kisasi chao hakiishi. Iko siku AK 47 itatumika.Mmoja alikuwa anamuambia mwenzake " hili gari siyo mali ya mamaako"
Timbwili liliisha kwa dereva kupigwa ngumi moja kwa sufuri
Yeah. Alimradi kusiwe na uthibitisho e.g. majeraha halafu iwepo na PF 3.Kupigana mafichoni ni halali.
Watapata haki yao....kazi ni maki jamhuri subiri adhabu yaoVideo iko wapi??
Huko kusikoonekana ni poa kabisa kwani mnayamaliza kimtindo na akili zinarudi pia na heshima inakuwepo.sio polisi tu ni binadamu yoyote na sio hadharani tu hata huko kusikoonekana sio sahihi
Ooh kumbe🤔Watapata haki yao....kazi ni maki jamhuri subiri adhabu yao
Ushahidi wa picha au clipInaonekana dereva wa polisi alimuacha Afande mwenzake kwa bahati mbaya sasa wamekuja kukutana mtaani wakaanza kutukanana na baadaye wakaanza kupigana.
Je, ni sahihi Polisi kupigana hadharani?
GazaWahenga walisemaga eti "Amani haipatikani ila kwa ncha ya upanga"
Naam.Gaza
Sio sahihi kabisaInaonekana dereva wa polisi alimuacha Afande mwenzake kwa bahati mbaya sasa wamekuja kukutana mtaani wakaanza kutukanana na baadaye wakaanza kupigana.
Je, ni sahihi Polisi kupigana hadharani?
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Yaani niwapige polisi picha? Unanitakia mema?
Nao ni raia kama wewe na yuleInaonekana dereva wa polisi alimuacha Afande mwenzake kwa bahati mbaya sasa wamekuja kukutana mtaani wakaanza kutukanana na baadaye wakaanza kupigana.
Je, ni sahihi Polisi kupigana hadharani?