cocochanel Platinum Member Joined Oct 6, 2007 Posts 27,885 Reaction score 76,043 Jan 9, 2024 #41 Sio sahihi haswa eneo wanalofahamila au wakiwa wamevaa uniform zao.
Stroke JF-Expert Member Joined Feb 17, 2012 Posts 37,630 Reaction score 47,434 Jan 9, 2024 #42 Umenikumbusha aisee, Kuna siku nilikua napita pale kimara mwisho mara nikaona watu wazima kabisa wanapigana ilikua aibu sana. Yaani kwa umri ule haikupasa kupigana.
Umenikumbusha aisee, Kuna siku nilikua napita pale kimara mwisho mara nikaona watu wazima kabisa wanapigana ilikua aibu sana. Yaani kwa umri ule haikupasa kupigana.