Adrianinho
JF-Expert Member
- Mar 20, 2013
- 426
- 522
WeWe ndo kilaza Namba Moja Fala wewe, tu namjua erasto kabla hajawa bilionea fala wewe, sina haja ya kuskiliza clip cz nalifahamu sakata lote. Dada zake erasto wana uchu na mali ya kaka yao na ndo wanawashauri vibaya wazazi. Unamwita mtoto wa mwenzio punga wakati we ndo punga. UOTE="Mrs Bishanga, post: 33229645, member: 154080"]
Achana na huyo kilaza ndo wengi walojajazana kule youtube ambao pamoja na kusikiliza zile clip bado hawajaelewa lolote
Watu wanaropoka tu hawajui hata hiyo hotel ina miaka mingapi tangu imejengwa., Erasto alipewa mgodi kuwa bilionea ni juhudi zake mwenyewe kwani kuna wachimbaji wangapi ambao hata hawana huo ubilionea?Hivi ni nani aliwadanganya kwamba Erasto alipewa Hotel na babake.
Acha tu mkuu nimefuatilia huu mjadala mpaka nimecheka bahati nzuri nimeishi Mirerani kipindi Erasto anaanza kupata hela kabla hata hajajenga ile hotel ya Mirereni na hii SG ya hapa town.Watu wanaropoka tu hawajui hata hiyo hotel ina miaka mingapi tangu imejengwa., Erasto alipewa mgodi kuwa bilionea ni juhudi zake mwenyewe kwani kuna wachimbaji wangapi ambao hata hawana huo ubilionea?
Acha tu mkuu nimefuatilia huu mjadala mpaka nimecheka bahati nzuri nimeishi Mirerani kipindi Erasto anaanza kupata hela kabla hata hajajenga ile hotel ya Mirereni na hii SG ya hapa town.
Siwezi kua na jibu la moja kwa moja kwa sababu Mara nyingi kwenye ugomvi wa kugombea mali za marehemu kila mmoja anavutia kwake.Kwa wazazi waerasto wapo sahihi?
Kumbe unaijua hiyo familia vizuri,mbazi mbele ya safari atapewa kesi ya uwizi mana anaiba sana kwavile toto nalo ni kilazaTatizo la hao warita ni umaskini, huyo mjomba alikuwa choka mbaya kaja anafuja pesa kwa kisingizio cha kutafuta mawakili kumtoa dada ake, mara atake pesa za kuhonga sijui kina nani dada ake atoke kumbe nyingoi anajinufaisha yeye amemrudisha mtoto kutoka masomoni ili iwe rahisi kumpa maeno kuwa anataka amtoe mama ake jela, juzi kwa mkuu wa wilaya walikuja ukoo mzima, mojomba kaja na mkewe, kaja mjomba mwingine kaja mama mdogo na mumewe kaja mtoto wa mjomba, wote wanataka mali ya shemeji. Wakati Erasto alipo kuwa hai hawakuwa karibu nae kiasi hicho. Mjiomba amejenga, ananunua nyumba watoto wanakosa chao. Bora mali igawanywe kwa watoto na mama yao apate sehemu yake ili hata yule ambae si wa miriam apate haki yake aendelee na masomo. Mtoto atakae ona anastahili kkusimamiwa na mjomba ampe mjomba sehemu ya mali yake aisimamie., au mke akiona kaka ake ndio msimamizi mzuri ampe sehemu yake asimamie.
Dada yao ndio aliwafanya hata ngozi za mwili ziwe soft mana walikua kama wapasua kokotoHilo wengi hawalioni. Ila ukoo wa mrita hawana aibuu ndo nlichogundua. Na Kumbe umaskini hupunguza akili.
Hotel inabiashara kubwa sana msimu wa utalii kuna kampuni nyingi za utalii zinalaza wageni pale,kuna kampuni ya climbkili inalaza wageni hapo wa kutosha mana ni kampuni kubwaKwa kweli wabongo tuache maskhara hiyo hotel naifahamu sana! Ni kweli kwa hali ilivyo sasa si kujenga self tu hata kuje room mbili choo na sebule ni shughuli hamna biashara inayofanyika pale kubwa kiasi hicho kufikia mjomba kuporomosha ghorofa.
Labda uniambie mjomba ameuza mojawapo za aseti za Erasto akaporomosha hilo ghorofa.
Rugemalila wa PAP yupo Mahabusu mwaka wa 3 sasa na anasaini pesa zake zote na kuendesha Kampuni.Mke was marehemu atabakije kuwa msimamizi was mirathi wkt yupo mahabusu gerezani?atatoaje statement za mapato na matumizi juu ya Mali za mirathi kwa wanandugu?Nashauri huyu mtoto mkubwa was marehemu ndiye awe msimamizi was hizo Mali, apewe counseling ya kisaikolojia kwanza ili atulie
ni sahihi kabisa Mjomba (Mmbazi) asimamie haya maswala kwa niaba ya Dada yakepost: 33225813 said:Marehemu alikua mpigaji sana, dhulumati. Hakuna asiyejua Mererani na Arusha mkuu. Amevuna alichopanda. Mali zitapotea zote hizo.
Ni kweli kabisa Shangazi Bibi na Babu ndio wabaya wanaona dalili za kuikosa mali ya Bilionea ndipo wanamlazimisha mtoto akasome kwanza hayo ni MAJIVUNI ya Shangazi hayahusiani na kurithi mali, mpeni mali baadae atasomatatizo kubwa naloliona hapo shangazi mtu ambaye Doctor kiongozi wa familia ukoo wa msuya anataka huyo mtoto aongeze elimu kiwango cha diploma ndipo anaweza kusimamia hizo mali zote ndio hapo mambo yalipoazia kutimbwirika
USIWAPOTOSHE MEMBERMkuu inaonyesha hujui hii issue vizuri na wala hujaifuatilia kwa karibu..
anza upya kupitia zile clip za YouTube na mabandiko kadhaa humu jf toka erasto auliwe
utapata mwanga
Hizo ni chuki za wapambe tuDada yao ndio aliwafanya hata ngozi za mwili ziwe soft mana walikua kama wapasua kokoto
Ni kweli kabisa Shangazi Bibi na Babu ndio wabaya wanaona dalili za kuikosa mali ya Bilionea ndipo wanamlazimisha mtoto akasome kwanza hayo ni MAJIVUNI ya Shangazi hayahusiani na kurithi mali, mpeni mali baadae atasoma
Bora Mjomba asimamie mali kwa maelekezo ya Dada Miriam hata km yupo Jela
Hizi Mali hazimuhusu Jerry Muro alipofikia ni sahihi kabisa Mali ni za Watoto na Mama
USIWAPOTOSHE MEMBER
Mnadanganya mnapoanzia baada ya kifo hapo Mijohoroni KIA
anzia pale walipozikana mali na mwenzake aliyefungwa na kulazwa Babati, fuatilia Bilionea alivyomfukia mwenzake shimoni, hao wazazi ni waongo walichompa ni mgodi tu, si Hotel wala mali
Bilionea ni biashara yake na mkewe na walichofanya kitalipwa hapahapa damu zinawarudia acheni Watoto warithi mali za Baba na Mama na Mjomba km ana radhi toka kwa mke wa Marehemu acheni asimamie
zikipotea hazituhusu Mkuu wa Wilaya yupo sahihi
Kumbe Glory ni binti wa kambo 😭sasa nimeelewa zaidi! Tatizo hao watoto wasipopata usimamizi mzuri kwa Sasa wakifikisha miaka ya kina sisi tutakutana nao wamepigika sana maana hapo kwa Sasa wajomba wanawanyonyaaa na hiyo mentality yao kwamba mama yao atatoka huko jela ndo itawacost, watajifilisiiiiHivi ww unatumia nn kufikiri? Eti unaandika erasto alipewa mgodi hakupewa mali.....Kwani mgodi ni nini? Sio Mali hiyo? Huko kwenye mgodi alikuwa anavuna mchanga eeh sio madini ambayo yaliuzwa yakaleta pesaa??
Unaposema wazazi na ndugu wa erasto wasiingilie unakosea kwa kuwa tayari mtoto wa kambo amebaguliwa kwenye huduma hivyo ni lazima wa kumtetea wawe bibi babu na shangazi kwamba wagaiwe wote pasu kwa pasu atakayeona anataka kusimamiwa na mtu basi iwe hivyo. Atakayeamua kuuza auze. Sio Kama Sasa wanapouza kiholela na anayefaidi ni mama na mjomba na kusahau binti wa kambo ambaye kiuhalisia miriam anamtenga. Upo hapo??
Mimi naona wapo sahihi kwa sababu wanachotaka ni mali za marehemu zigawanywe kwa watoto, zikigawanywa na mtoto akachezea mali zake hata mlaumu mtu, ila zikisambaratishwa na hao ndugu wa mke wanaweza kuja kusema tulikuwa wadogo hamku tushauri, na kwa vyovyote lazima watarudi kwa bibi na bau/shangazi kulelewa maana ndio mdugu zao. Wazazi wa Erasto hawahitaji mali za Erasto bali wanataka kuzilinda tu.Kwa wazazi waerasto wapo sahihi?
Ataiba mpaka huyu mtoto achanganyikiwe na siku mtoto akishtuka lazima ataundiwa zengwe au hata kuuwawa waseme ni familia ya babu inahusika au anaweza kumuingiza kwenye madawa ili awe teja mjomba aendelee kula, familia ya kimaskini sana yaani hata hao mama wadogo wameanza kunawiri baada ya Erasto kufa.Kumbe unaijua hiyo familia vizuri,mbazi mbele ya safari atapewa kesi ya uwizi mana anaiba sana kwavile toto nalo ni kilaza
wote wapare, watu tu wanaongelea uhaga kwa chuki zao binafsi, Erasto alikuwa mpare na mke wake ni mpare.Hawa jamaa mbona wana majina ya kipare? Ni wachaga au wapare?