Je, ni sahihi wazazi wa binti kudai kuwa mwanaume aliyempa mimba aende kujitambulisha hata kama hana mpango wa kuoa?

Je, ni sahihi wazazi wa binti kudai kuwa mwanaume aliyempa mimba aende kujitambulisha hata kama hana mpango wa kuoa?

Madihani

JF-Expert Member
Joined
Apr 30, 2015
Posts
6,154
Reaction score
7,083
Naamini kuna uzima kwa wana jamii.

Je ni sahihi wazazi wa binti/mwanamke kudai kuwa mwanaume aliempa mimba aende kujitambulisha hata kama hana mpango wa kuoa?

Au ni mbinu ya kulazimisha binti aolewe? Wao wanadai wanataka kumtambua/kumfahamu.

Habari hii imemkuta rafiki yangu wa karibu.
 
Mkuu kausha kama hawatokei sumbawanga
Hit and mimba
Hit and run imekataa
Apply law of no retreat

Akili mtu wangu [emoji848]
 
Naamini kuna uzima kwa wana jamii.
Je ni sahihi wazazi wa binti/mwanamke kudai kuwa mwanaume aliempa mimba aende kujitambulisha hata kama hana mpango wa kuoa?
Au ni mbinu ya kulazimisha binti aolewe?
Wao wanadai wanataka kumtambua/kumfahamu.
Habari hii imemkuta rafiki yangu wa karibu.
Wewe ulizini nae wa nini kama hutak kumuoa?
 
Rafiki wa karibu😆

images (74).jpeg
 
wote waliooa walikuwa hawana mpango ila walipoingia ndoani wakajihisi walichelewa sana kupata mema.

na hao wanaolia baada ya ndoa ni wale walioingia kwa kimbunga na watanionaje.
 
Ni sahihi tu mkuu hakuna shida kwani lengo ni mjukuu wao asijisikie vibaya kwa kuonekana hana baba, ni utamaduni wa kawaida wa familia zetu za Kiafrika kwani changamoto iliyopo ni kwa vijana wa sasa hivi na wazazi wa sasa hivi akili zao wanazijua wenyewe
 
Tafuta mtu anayefanana na wewe aende kwa niaba yako. Atakupa mrejesho
 
Ni vibaya kumpa mimba mdada halafu azalie nyumbani na hatma ya malezi ya mtoto isijulikane,siyo fair kabisa,nadhani kuonyesha unfairness kwa ulichofanya,kaka zake au ndugu zake wa kiume,bilashaka hawajapenda na ndiyomaana hata hawajakupigia simu kuitwa tu hata shemeji.Ni fedheha sana miaka hii ambayo njia za uzazi wa mpango in nyingi na zinafundishwa waziwazi,unampa mdada mimba bila mpangilio.Umefanya kitendo kibaya sana,na umewachanganya sana familia hiyo uliyoipatia mzigo wa bila kutarajia.Mdada upiyempa mimba kama hana kazi rasmi,uwezekano mkubwa wa yeye kua mdangaji ni Mkubwa sana.Pole kwa mdada ambaye anaanza safari ya u-single mother,safari ambayo imejaa kudharaulika na kuchukuliwa kua ni ya wadada au wamama wasiokua na maadili na malezi mazuri.Umesema no rafiki yako wa karibu,lakini najua hii itakua yako.Kila la kheri.
 
Ni vibaya kumpa mimba mdada halafu azalie nyumbani na hatma ya malezi ya mtoto isijulikane,siyo fair kabisa,nadhani kuonyesha unfairness kwa ulichofanya,kaka zake au ndugu zake wa kiume,bilashaka hawajapenda na ndiyomaana hata hawajakupigia simu kuitwa tu hata shemeji.Ni fedheha sana miaka hii ambayo njia za uzazi wa mpango in nyingi na zinafundishwa waziwazi,unampa mdada mimba bila mpangilio.Umefanya kitendo kibaya sana,na umewachanganya sana familia hiyo uliyoipatia mzigo wa bila kutarajia.Mdada upiyempa mimba kama hana kazi rasmi,uwezekano mkubwa wa yeye kua mdangaji ni Mkubwa sana.Pole kwa mdada ambaye anaanza safari ya u-single mother,safari ambayo imejaa kudharaulika na kuchukuliwa kua ni ya wadada au wamama wasiokua na maadili na malezi mazuri.Umesema no rafiki yako wa karibu,lakini najua hii itakua yako.Kila la kheri.
Mkuu umesema yotee

Sent from my SM-J610F using JamiiForums mobile app
 
Hili nalo la kuuliza kweli!![emoji848][emoji848][emoji848]
Si mvaage condom tu!
 
Back
Top Bottom