je ni sahihi?

sugi

JF-Expert Member
Joined
Feb 12, 2011
Posts
1,392
Reaction score
295
mara nyingi utawasikia watu wakisema"nimezaliwa sehemu fulani"
Kwa nini wasiseme"nimezawa sehemu fulani?"
Kwa maana:
Zaa-mzizi
Zawa-tendwa
Zaliwa-tendewa
Hivyo kusema zaliwa,ina maana kuwa mtu kazaa kwa niaba yako
Na ukisema zawa hii ina maana kuwa wewe ndio uliyetendwa
Sijui mnasemaje wataalamu wa kiswahili kwa jambo hili?
 
Umenikumbusha, kuna jamaa aliulizwa "umezaliwa sehemu gani?" akajibu "mwili mzima"
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…