mara nyingi utawasikia watu wakisema"nimezaliwa sehemu fulani"
Kwa nini wasiseme"nimezawa sehemu fulani?"
Kwa maana:
Zaa-mzizi
Zawa-tendwa
Zaliwa-tendewa
Hivyo kusema zaliwa,ina maana kuwa mtu kazaa kwa niaba yako
Na ukisema zawa hii ina maana kuwa wewe ndio uliyetendwa
Sijui mnasemaje wataalamu wa kiswahili kwa jambo hili?
Kwa nini wasiseme"nimezawa sehemu fulani?"
Kwa maana:
Zaa-mzizi
Zawa-tendwa
Zaliwa-tendewa
Hivyo kusema zaliwa,ina maana kuwa mtu kazaa kwa niaba yako
Na ukisema zawa hii ina maana kuwa wewe ndio uliyetendwa
Sijui mnasemaje wataalamu wa kiswahili kwa jambo hili?