Rutunga M
JF-Expert Member
- Mar 16, 2009
- 1,769
- 1,390
Wana bodi.
Nafikiri kila mmoja amesoma na kusikia taarifa ya BOT baada ya kufungia benki 5 kwa kushindwa kufikia mtaji wa Bilioni 2 kulingana na sheria zao.
Kilichoshangaza wengi ni kuwa wateja waliokuwa na fedha ndani ya benki husika zaidi ya sh 1.5milioni nao wamefilisiwa na BOT kwa kuwa benki yao imefilisika.
My take.
1:Mimi nilifikiri BOT ndiyo dhamana ya wateja iwapo benki inafilisika lakini kumbe si kweli maana benki zilizobaki nazo zikifilisika nawe umefilisika. Hii ikoje?
2:Je wewe ulikoifadhi fedha zako unajua mtaji wa hiyo benki? Je unajua lini itafilisika? Fedha zako ziko salama?
Karibu kwa mjadala
Nafikiri kila mmoja amesoma na kusikia taarifa ya BOT baada ya kufungia benki 5 kwa kushindwa kufikia mtaji wa Bilioni 2 kulingana na sheria zao.
Kilichoshangaza wengi ni kuwa wateja waliokuwa na fedha ndani ya benki husika zaidi ya sh 1.5milioni nao wamefilisiwa na BOT kwa kuwa benki yao imefilisika.
My take.
1:Mimi nilifikiri BOT ndiyo dhamana ya wateja iwapo benki inafilisika lakini kumbe si kweli maana benki zilizobaki nazo zikifilisika nawe umefilisika. Hii ikoje?
2:Je wewe ulikoifadhi fedha zako unajua mtaji wa hiyo benki? Je unajua lini itafilisika? Fedha zako ziko salama?
Karibu kwa mjadala