Chakushangaza zaidi ya yote hapa ni BOT kulipa dividends kwa kutumia retain earnings pamoja na faida yote. Kwanini wasingelitowa hizi pesa kwa ajili ya kuziokowa hizi bank zilizofilisika kama ruzuku au ata additional capital ili kutowa msukumo katika uchumi kama injections. Eti BOT kuna wasomi sijaelewa.
Tunaona mifano nchi kama China inavyotowa pesa zake kwenye central bank na kuziingiza katika long term investments. Sie hapa bongo tunagawana faida yote na malimbikizo ya faida ya miaka iliopita. Hawa wasomi wetu hapa wanatupeleka siko. Angalia kina Prof Lip anavyotumika, Dr. Silahaaaaa ya maangamizi