sky soldier
JF-Expert Member
- Mar 30, 2020
- 5,407
- 19,264
Naona huu utamaduni umekaa kimfumo dume na kuvuka mipaka.
Sometimes hata watoto nao wale hayo mapaja.
Sometimes hata watoto nao wale hayo mapaja.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Siku hizi mapaja na vipapatio viko mpaka vichochoroni sio dili tenaNaona huu utamaduni umekaa kimfumo dume na kuvuka mipaka.
Sometimes hata watoto nao wale hayo mapaja.
khaaa 😂 Mshana, out of all people kweli na wewe ?Siku mapaja na vipapatio viko mpaka vichochoroni sio dili tena
Kuku wa kienyeji akichinjwa bado utamaduni unatumika.Siku mapaja na vipapatio viko mpaka vichochorini sio dili tena
OkayKuku wa kienyeji akichinjwa bado utamaduni unatumika.
Hivi hizi reply zangu siku hizi zina nini? Mbona mnazishangaa mno[emoji848][emoji848][emoji2827][emoji3]khaaa [emoji23] Mshana, out of all people kweli na wewe ?
Huo ubishani sio wa kujadiliwa hapa na kadamnasi, huo utamaduni unatokana na utashi wa wanawake mama wenye nyumba, kutokana na mapenzi yao. Mama ndio huwa wanaamua nani ale niniNaona huu utamaduni umekaa kimfumo dume na kuvuka mipaka.
Sometimes hata watoto nao wale hayo mapaja.
Naona huu utamaduni umekaa kimfumo dume na kuvuka mipaka.
Sometimes hata watoto nao wale hayo mapaja.
Hee sasa ukinikuta na shemej yako tunavyogombea bichwa la samak sangara..acha tu..huwa ni vitaNaona huu utamaduni umekaa kimfumo dume na kuvuka mipaka.
Sometimes hata watoto nao wale hayo mapaja.
Ndio nyama ya maana iliobeba protini nyingi inayokupa nguvu ya kumfanya vibaya shemeji yetu, unafikiri watu wa zamani hawakuwa na akili?Naona huu utamaduni umekaa kimfumo dume na kuvuka mipaka.
Sometimes hata watoto nao wale hayo mapaja.