Mtukutu Mkuu
JF-Expert Member
- Jul 10, 2022
- 1,117
- 1,403
Msiendekeze sana baraka,mwenzio nyapu anapata mahala anapopapenda....unajua raha ya kusex na mtu umpendae?Hiyo 60k mtumie b mkubwa utapata braka
Mwanamke hapewi chochoteπ€£zaidi anapewa gear knob haijalishi iwe Gia 2, 5,6, 8 we mpe Gia knob usisahau kukanyaga mafuta usipge break Ata kwny matuta ongeza mwendo (tafsida)Wapwa natumaini ni wazima wa afya na pia poleni na majukumu ya kulijenga
Mi kijana wenu katika harakati nimekutana binti mmoja nimetokea ku fall in love tunapendana sana kuhusu kumuhudumia na muhudumia fresh Tu Lakini yeye amepanga Lakini tulipofikia Sasa anadai Kila For month nimtumie 60K Kwa shida zake ndogo ndogo Ishue ni kwamba sijamuoa sijamvisha Pete na pia amepanga ni mfanyanya biashara .
Swali je ni sahihi Kuanza kuingia hizi gharama maana kama nitaanza kulipa 60K Kuna gharama zingine zitakuja automatically
Binafsi naona kama ni bado sana
Naombeni ushauri kwenye hili
Mnakuaga na maneno ya shombo sana lakini ajabu hamkai peke yenu bado mnayatafuta hayo mavi ya ng'ombe.Mdogo wangu wanawake NI Kama mavi ya NG'OMBE hawajui wanataka nini either yakauke au yaendelee kuwa mabichi
Hiyo 60k mtumie b mkubwa utapata braka
Mkuu Kama mwanamke hajaolewa awe mpole katika pesa za watuMsiendekeze sana baraka,mwenzio nyapu anapata mahala anapopapenda....unajua raha ya kusex na mtu umpendae?
Maisha ni sex pia.... tukubali tukatae.Mshauri ajikune anapopaweza au aoe kabisa
Kama mavi ya ng'ombe? Are you serious?πMkuu Kama mwanamke hajaolewa awe mpole katika pesa za watu
Hyo 60k apewe amefanya nni mpaka kila mwezi apewe mwambie atafute ajira asigeze wanaume ndo vitega uchumi nyuchi zimeshuka thamani kufikia level hyo ya kupangia kimada kila mwezi ukipe pesa (mshahara)
Wanawake NI Kama mavi ya ngo'mbe ukiyaona njiani yamekauka tia mguu ndo utajua hakuna rangi utaacha kuona
Mbona ubabe mwingi..60k ni bili ya nini shemegi, kodi? Gas? Kusuka? Viuno? Au kasema ya nini.....?
Kabla hatujashauri uitoe au usitoe
Mwamba una hasira sana aiseeeeMkuu Kama mwanamke hajaolewa awe mpole katika pesa za watu
Hyo 60k apewe amefanya nni mpaka kila mwezi apewe mwambie atafute ajira asigeze wanaume ndo vitega uchumi nyuchi zimeshuka thamani kufikia level hyo ya kupangia kimada kila mwezi ukipe pesa (mshahara)
Wanawake NI Kama mavi ya ngo'mbe ukiyaona njiani yamekauka tia mguu ndo utajua hakuna rangi utaacha kuona
Ngoja nikurudie tenaMsiendekeze sana baraka,mwenzio nyapu anapata mahala anapopapenda....unajua raha ya kusex na mtu umpendae?
Maisha ni sex pia.... tukubali tukatae.Mshauri ajikune anapopaweza au aoe kabisa
Siye ndo tunapata raha? Are you sure?Ngoja nikurudie tena
Mie nashangaa huwa mnajizima data Etii Raha anazopata kiuhalisia kwenye tendo la ndoa mwanaume anapoteza mwanamke ndo ana gain hizo Raha NI yeye ndo anaye pata tena kwa nguvu kubwa anayoitumia mwanaume kumpa raha bado utoe pesa umpe mungu usinijaalie ujinga huuu
Kusikia kwa kenge mpaka atoke damu machoni na masikioni
Wapwa natumaini ni wazima wa afya na pia poleni na majukumu ya kulijenga
Mi kijana wenu katika harakati nimekutana binti mmoja nimetokea ku fall in love tunapendana sana kuhusu kumuhudumia na muhudumia fresh Tu Lakini yeye amepanga Lakini tulipofikia Sasa anadai Kila For month nimtumie 60K Kwa shida zake ndogo ndogo Ishue ni kwamba sijamuoa sijamvisha Pete na pia amepanga ni mfanyanya biashara .
Swali je ni sahihi Kuanza kuingia hizi gharama maana kama nitaanza kulipa 60K Kuna gharama zingine zitakuja automatically
Binafsi naona kama ni bado sana
Naombeni ushauri kw
Madrid Jana umenichania mkeka wanguWapwa natumaini ni wazima wa afya na pia poleni na majukumu ya kulijenga
Mi kijana wenu katika harakati nimekutana binti mmoja nimetokea ku fall in love tunapendana sana kuhusu kumuhudumia na muhudumia fresh Tu Lakini yeye amepanga Lakini tulipofikia Sasa anadai Kila For month nimtumie 60K Kwa shida zake ndogo ndogo Ishue ni kwamba sijamuoa sijamvisha Pete na pia amepanga ni mfanyanya biashara .
Swali je ni sahihi Kuanza kuingia hizi gharama maana kama nitaanza kulipa 60K Kuna gharama zingine zitakuja automatically
Binafsi naona kama ni bado sana
Naombeni ushauri kwenye hili