Unapoajiriwa makato yafuatayo ni lazima
1. Kodi (kama mshahara wako au posho yako iko juu ya kima cha chini)
2. Hifadhi ya Jamii (N.S.S.F, GEPF, PPF, LAPF au PSPF)
3. Bima ya afya (kutegemeana na utaratibu wa sehemu husika). Kama Mwajiri wako anakugharimia matibabu au unajigharimia mwenyewe hiyo ni habari nyingine lakini
Haya matatu huhitaji kujsajili kwanza ni sehemu ya ajira yako.
Kukuongezea tu maarifa ni kwamba N.S.S.F ni hela yako ya baadaye, wewe unalipa 10% na yeye (Mwajiri) 10% (au zaidi kulingan na utaratibu) kama hujakatwa maana yake wewe ndio utakayepunjiaka as hutapata hela ya mwajiri wako utakapomaliza mktaba wako.