Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
samahani kama nitakuwa sikueleweka,ni uungwana kama nitakuwa nimekwenda tofauti na mawazo yako nakutaka radhi kwa maudhi.kilichonifanya niulize ni kuwa sina hata hiyo namba ya nssf na wala sijajiunga na fedha inakatwa je itakuwa inakwenda wapi ?hata hivyo nashukuru sana kwa majibu.