Kama una miaka zaidi ya 23, nakusitikia kujibu swali lako, ndio inawezekana kabisa,
Kampuni mama inakuwa holding company, na hio nyingine ni operation companies, eg SSB ni holding company wa azamMedia. Kwa hio unaweza ajiriwa SSB, lakin ukapostiwa AzamMedia so mkataba utasoma Azam Media,
Btw, hivi huwa mnafuatilia mambo au mnawaza nn an