ubongokid
JF-Expert Member
- Apr 30, 2017
- 2,154
- 4,184
Wadau;
Nimewahi kwenda katika hospitali na kuandikiwa vipimo pamoja na dawa na wataalam wa tiba.Sina shaka na uwezo na utaalamu wao bali ninahoji iwapo ni busara kufanyan background check kwa tiba au maelekezo unayopewa na dakatari.
Kwa mimi bainafsi nimekuwa na tabia ya kusoma mitandaoni na vitabu mbalimbali vya tiba kuhusu ugonjwa,dalili au tiba yoyote ninayopitia au inayohusu mwanafamilia wangu na mara nyingi nimeona niko sahihi kwani imenisaidia.Kuna wakati huwa narudi kwqa daktari na kuhoji kwa nini amanipa dawa fulani badala ya dala fulani ukizingatia madhara ya dawa hizo na wakti mwingine gharama ya tiba hizo.
Ningependa kujua tu kama ni utamaduni mzuri ili nihamisishe wengine wawe na utaratibu wa kuelewa tiba wanazopewa na madaktari wao
Nimewahi kwenda katika hospitali na kuandikiwa vipimo pamoja na dawa na wataalam wa tiba.Sina shaka na uwezo na utaalamu wao bali ninahoji iwapo ni busara kufanyan background check kwa tiba au maelekezo unayopewa na dakatari.
Kwa mimi bainafsi nimekuwa na tabia ya kusoma mitandaoni na vitabu mbalimbali vya tiba kuhusu ugonjwa,dalili au tiba yoyote ninayopitia au inayohusu mwanafamilia wangu na mara nyingi nimeona niko sahihi kwani imenisaidia.Kuna wakati huwa narudi kwqa daktari na kuhoji kwa nini amanipa dawa fulani badala ya dala fulani ukizingatia madhara ya dawa hizo na wakti mwingine gharama ya tiba hizo.
Ningependa kujua tu kama ni utamaduni mzuri ili nihamisishe wengine wawe na utaratibu wa kuelewa tiba wanazopewa na madaktari wao