Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Pole mkuu ila fahamu kuwa kuna baadhi ya viungo vya kupikia na hicho unachokipika haviendani ndio maana matokeo yakawa hivyoJamii mapishi,
Juzi nilipika chapati za maji aka kumimina but nikaweka vitunguu maji na saumu wa wakati mmoja pamoja na tangawizi. nilikula mbili nikasikia kama nimekunywa K vanT kubwa.
Je kuna mapishi ya namna hiyo au ni hatari.
UPISHI SIO SANAA TU, BALI PIA NI SAYANSI. NDIO MAANA KUNA TAALUMA YA FOOD SCIENCEJamii mapishi,
Juzi nilipika chapati za maji aka kumimina but nikaweka vitunguu maji na saumu wa wakati mmoja pamoja na tangawizi. nilikula mbili nikasikia kama nimekunywa K vanT kubwa.
Je kuna mapishi ya namna hiyo au ni hatari.
Chapati ukishaweka vitu hivyo tu siliJamii mapishi,
Juzi nilipika chapati za maji aka kumimina but nikaweka vitunguu maji na saumu wa wakati mmoja pamoja na tangawizi. nilikula mbili nikasikia kama nimekunywa K vanT kubwa.
Je kuna mapishi ya namna hiyo au ni hatari.
Hapana sikumaanisha hivyo ila nimesemea kiujumla Kwa mapishi yoteunataka kusema hizo chapati sikupika
🤣🤣🤣Hongera umefikia hatua ya kutambuliwa kama mgunduzi wa chapati pombe, unashiba huku unalewa. Kiufupi ni 2 in 1
Dah,kweli mapishi sanaai did that. zilikua tamu but kama hauko strong unalewa
Dah.au ulikunywa KVANT Jana yake?Ina tabia ya kulipuka kesho yakehadi nkajiuliza inakuaje
IPO recipe nyingine,[emoji23][emoji23][emoji23]Nimecheka
Mimi nijuavyo chapat za kumimina haziwekwi vitunguu Swaumu [emoji3]
Aina ya kwanza Kwa wasiopenda mambo mengi
Ngano
Maji
Mayai
Sukar/chumvi
Vanilla flavour
Namna nyingine
Ngano
Maji
Mayai
Chumvi/ sukari
Vitunguu maji na karoti kias
Zipo pia za mboga mboga hiv sijafatilia upishi wake Kila la kheri
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hongera umefikia hatua ya kutambuliwa kama mgunduzi wa chapati pombe, unashiba huku unalewa. Kiufupi ni 2 in 1
Shangazii unifundishagee jaman [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Nimecheka
Mimi nijuavyo chapat za kumimina haziwekwi vitunguu Swaumu [emoji3]
Aina ya kwanza Kwa wasiopenda mambo mengi
Ngano
Maji
Mayai
Sukar/chumvi
Vanilla flavour
Namna nyingine
Ngano
Maji
Mayai
Chumvi/ sukari
Vitunguu maji na karoti kias
Zipo pia za mboga mboga hiv sijafatilia upishi wake Kila la kheri