Je ni Sawa????

Je ni Sawa????

Mwanaume kufanya kazi za nyumbani kama kupika,kuosha vyombo na kudeki....ni ujanja au uboya
Mkuu yaani hizo ni baadhi tu ya kazi ambazo mimi huwa nafanya nyumbani kwa mama watoto wangu...
Pia nilikuwa nabeba maji kichwani kabla sijavuta maji na huwa nabeba watoto wangu mgongoni/kifuani (kwa kutumia baby carrier/wrap) na kwenda nao kwenye misele, clinic hata ofisini. Kufanya hivyo kwangu ni sehemu ya kuonesha upendo na unyenyekevu kwa familia yangu na kutoa mafunzo ya vitendo kwa jamii namna ambavyo yatupasa tuishi.
upload_2016-11-26_21-13-14.png
 
Lakini wapo wanawake ambao hawabebeki wala hawathaminiki,wakiwa na shoga zao wanakuwa wanawacheka waume zao na kuwaita mabwege na kusema kuwa wanawapeleka puta,hao wapo pia.
 
Back
Top Bottom