ras jeff kapita
JF-Expert Member
- Jan 4, 2015
- 22,152
- 33,899
Washamba kweli nyinyiWakuu Leo huu mzigo umepita mtani kwetuView attachment 2412302
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Washamba kweli nyinyiWakuu Leo huu mzigo umepita mtani kwetuView attachment 2412302
Pole sana mkuu, unapataje engine fake? Au unanunua engine zilizotumika bongo?1jz ilikuwa na issue ya kuvujisha oil kwa chini wakafungua wakarekebisha wakazalisha tatizo la kuvujisha kwa pembeni ambayo haidondoki inaishia kutengeneza utando na vumbi pembeni so haidondoki chini Ili ijulikane, gari ilimwagwa oil ikatembea km 600 tu ikaisha ikaanza kuunguza mapiston. From there kila kitu kikawa mtihani kuhusu kubadilisha engine nyingine nikawa napata feki Hadi Leo lipo garage
Faida yake ni kuwahi. Hasara yake ajali so akili kichwani mwakoHivi ukiendesha kwa "spidi kali sana" unapata faida gani?
Mimi nilijua wavuta bangi ndiyo hufanya hivyo, kumbe mpaka majitu mazima?
Washamba kweli nyinyi
1.07925285E9 kilometers / hourKwema wakuu, je ni speed gani kubwa zaidi ushawahi kutembea na gari au pikipiki na ilikuwa ni gari gani au pikipiki gani?
Nikianza mie nakumbuka mwaka 2017 nilikuwa na Cresta GX100 yenye engine ya 1jz turbo dashboard iliwahi kusoma 186 Kph (Dashboard ilikuwa ya digital) na ilikuwa ni sehemu inaitwa Samuye kuna down hivi kali kuitafuta Shinyanga. Nilikuwa na ndugu yangu alipiga kelele sana kuwa mwendo ni mkali ila nimuuliza tu "KWANI MIE NIPO NJE YA GARI?" [emoji23][emoji16]
Pia nakumbuka kuna jamaa yangu alinunua pikipiki Kawasaki Ninja Z2 ina speed 260 nikasema ebu ngoja niitest [emoji16], bwana wee, nikaingia Kilwa Road kuanzia pale Kurasini Mivinjeni kuelekea uhasibu T.I.A yani ile nimepiga gear ya kwanza hadi ya nne mafuta mengii naona chuma inasoma 190+. Weeee nilipunguza mwenyew bila kuambiwa.
[emoji23][emoji23]
Naombeni experience zenu wakuu kwenye masuala ya Speed.
RRONDO
Extrovert
Bavaria
JITU LA MIRABA MINNE
View attachment 2291079
Angeanzisha uzi wa magari kwenye jukwaa lenu la Singeli ndio angeonekana mshamba, ila jukwaa hili ni magari tu,hata la shemeji anzishia uzi...wew sindiyo umeona gar kitu cha ajabu san mpaka umeanzisha uzi!!
Kumbe na nyie mmo!170 gari ina 180
Altezza alikua anasumbua
Alikaa
Bt huo ndo mwanzo na mwisho
Mara moja mojaKumbe na nyie mmo!
Ukitoka Jeshini Mpaka Zanka Barabara Imenyooka180km/h ...Dodoma to Kondoa
NissanUlikuwa na gari gani?
150 kwa pikipiki😂Kwema wakuu, je ni speed gani kubwa zaidi ushawahi kutembea na gari au pikipiki na ilikuwa ni gari gani au pikipiki gani?
Nikianza mie nakumbuka mwaka 2017 nilikuwa na Cresta GX100 yenye engine ya 1jz turbo dashboard iliwahi kusoma 186 Kph (Dashboard ilikuwa ya digital) na ilikuwa ni sehemu inaitwa Samuye kuna down hivi kali kuitafuta Shinyanga. Nilikuwa na ndugu yangu alipiga kelele sana kuwa mwendo ni mkali ila nimuuliza tu "KWANI MIE NIPO NJE YA GARI?" [emoji23][emoji16]
Pia nakumbuka kuna jamaa yangu alinunua pikipiki Kawasaki Ninja Z2 ina speed 260 nikasema ebu ngoja niitest [emoji16], bwana wee, nikaingia Kilwa Road kuanzia pale Kurasini Mivinjeni kuelekea uhasibu T.I.A yani ile nimepiga gear ya kwanza hadi ya nne mafuta mengii naona chuma inasoma 190+. Weeee nilipunguza mwenyew bila kuambiwa.
[emoji23][emoji23]
Naombeni experience zenu wakuu kwenye masuala ya Speed.
RRONDO
Extrovert
Bavaria
JITU LA MIRABA MINNE
View attachment 2291079
Aina gani ya Bike?Last week nimefuta 240 na pikipiki najua si rahisi kuamini. Mashahidi ni walioniona
Aina gani ya Bike?