Je, ni Speed gani kubwa zaidi ushawahi kutembea na gari au pikipiki?

Pole sana mkuu, unapataje engine fake? Au unanunua engine zilizotumika bongo?
 
Hivi ukiendesha kwa "spidi kali sana" unapata faida gani?

Mimi nilijua wavuta bangi ndiyo hufanya hivyo, kumbe mpaka majitu mazima?
Faida yake ni kuwahi. Hasara yake ajali so akili kichwani mwako
 
170 out of 180 mara nyingi huwa natembea na 120 to 150 nikiwa naenda dar dom au dom dar au mbeya dom nk
 
1.07925285E9 kilometers / hour
 
150 kwa pikipiki😂
 
Your browser is not able to display this video.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…