German machines huwa zina jeuri sana.Ilikuwa natoka Kahama kwenda Nyakahura niende Bukoba, maeneo ya Ushirombo kuna mkeka safi sana no Tuta, no shimo hakuna mabuje barabarani (Asante STRABAG kwa kazi ile) nilitembea nikashtuka dashboard inasoma 200Km/H.
Gari ilikuwa ni Audi Q5
Ila sishauri mtu atembee huo mwendo. Maana lolote likitokea huwezi jitetea.
Ukitaka kubadilisha iwapo utaiachia na ikiwa nzima, tutafutane nduguBMW R1150GS
Tunapenda urojo baba wa kwenye misiba mkuuIlikuwa natoka Kahama kwenda Nyakahura niende Bukoba, maeneo ya Ushirombo kuna mkeka safi sana no Tuta, no shimo hakuna mabuje barabarani (Asante STRABAG kwa kazi ile) nilitembea nikashtuka dashboard inasoma 200Km/H.
Gari ilikuwa ni Audi Q5
Ila sishauri mtu atembee huo mwendo. Maana lolote likitokea huwezi jitetea.
Hakuna gx100, gx100 zote zina 1g-fe na zenye 1jz na 2jz ni jzx100 tena hiyo ya kwako sio kabisa maana zenye 1jz ni roulant edition ndo zina 1jz gte na hazipo hivyo kama hii yako, so yako inawezekana ni 1jz ge ni jzx100 ila non turboKwema wakuu, je ni speed gani kubwa zaidi ushawahi kutembea na gari au pikipiki na ilikuwa ni gari gani au pikipiki gani?
Nikianza mie nakumbuka mwaka 2017 nilikuwa na Cresta GX100 yenye engine ya 1jz turbo dashboard iliwahi kusoma 186 Kph (Dashboard ilikuwa ya digital) na ilikuwa ni sehemu inaitwa Samuye kuna down hivi kali kuitafuta Shinyanga. Nilikuwa na ndugu yangu alipiga kelele sana kuwa mwendo ni mkali ila nimuuliza tu "KWANI MIE NIPO NJE YA GARI?" [emoji23][emoji16]
Pia nakumbuka kuna jamaa yangu alinunua pikipiki Kawasaki Ninja Z2 ina speed 260 nikasema ebu ngoja niitest [emoji16], bwana wee, nikaingia Kilwa Road kuanzia pale Kurasini Mivinjeni kuelekea uhasibu T.I.A yani ile nimepiga gear ya kwanza hadi ya nne mafuta mengii naona chuma inasoma 190+. Weeee nilipunguza mwenyew bila kuambiwa.
[emoji23][emoji23]
Naombeni experience zenu wakuu kwenye masuala ya Speed.
RRONDO
Extrovert
Bavaria
JITU LA MIRABA MINNE
View attachment 2291079
vp uzito au ukubwa wa body umeuzingatia ?X5 50d yenye 400hp na 900 nm ina accelerate faster kuliko X5 50i yenye 550hp na 700nm?
Nina uzoefu na baadhi ya gari za diesel na petrol. Ninapokwambia torque ni kwenye milima na kubeba mizigo najua ninachosema.
Ndo nasikia kwako leo.
Vw touareg v8 dizel 280km/hr hp 320Jaribu na amarok Volkswagen aah ni tamuu!
ni ndefu kwa karibia kilomita 120Harafu watu hawajaijua hii njia ya Manyoni to nzega via Tabora ni karibu kuliko kupitia singida na haina matuta na tochi za kijinga
zipo za 315 hpSTi hawezi mziki wa 2GR tena ukute ni ile ya 260kph version. Hamna STi yenye more than 280HP hata ichokonoleweje.
Ukija kwa 2GR Stock ni 310HP hio haina mbambamba. Ni moto wa kuotea mbali.
Kuna raha yake Mkuu, muhimu usilete rally na mtu mwingineHivi ukiendesha kwa "spidi kali sana" unapata faida gani?
Mimi nilijua wavuta bangi ndiyo hufanya hivyo, kumbe mpaka majitu mazima?