Je, ni tabia gani ambayo huipendi kwa members wenzako hapa JF?

Je, ni tabia gani ambayo huipendi kwa members wenzako hapa JF?

Pure_sapiens

JF-Expert Member
Joined
Dec 25, 2016
Posts
2,228
Reaction score
2,064
Habari zenu Leo ni weekend.

Wengi time chill tu home wengine wameenda viwanja, wengine wana hang over za jana yaani ilimradi ni weekend. Niende kwenye mada.

Wote sisi ni one familiy hapa JF lakini kila member ana tabia zake ambazo kwa namna moja ama nyingine zinakukwaza ila hujapata nafasi ya kusema.

Basi vuta pumzi nafasi yenyewe ndo hii funguka bila kuacha hata chembe tabia usiyoipenda humu jukwaani.

Great thinker
 
Mtu kujiona ni Great thinker kumbe ni great sinker

Sent from my Huawei mate 9
 
Watu kusalimiana katikati ya thread.najiuliza hivi wazima vichwani kwao kweli..
 
Hilo jiwe litakae mpata atulie..ajifunze kitu naenda pm Katoe salam
Hii tabia yako na Mimi siipendi ya personal attack,mtu akitofautiana na wewe hakuna haja ya kutumia maneno magumu kama "jiwe kumpata" sasa unavyodhani hapa JF unamuumiza nani? Maana Tafsiri ya jiwe kumpata mtu ni kumuumiza

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hii tabia yako na Mimi siipendi ya personal attack,mtu akitofautiana na wewe hakuna haja ya kutumia maneno magumu kama "jiwe kumpata" sasa unavyodhani hapa JF unamuumiza nani? Maana Tafsiri ya jiwe kumpata mtu ni kumuumiza

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu don't take it personal..sina nia ya kumuumiza mtu nia ni kujifunza tu..soma muanzisha thread amesemaje basi..au amemaanisha nini..[emoji1]
 
Mimi binafsi naichukia sana tabia ya kutumia lugha ya matusi pindi unapokuwa na mawazo tofauti na member mwingine wakati mjadala unaendelea. Humu ndani tuko watu kutoka nyanja zote na pia tunatabia tofauti kwa kila mmoja hivyo ni jambo la kawaida tu kutofautiana kimtazamo juu ya mada husika hivyo yatupasa tu tuufurahie ufanano wetu wa kimtazamo na pia tuuheshimu utofauti wetu wa kimtazamo juu ya kile tunachojadili.



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sipendezwi na mtu akichangia / au kutoa mada analazimisha kila mtu akubali alichosema yeye. Anayekuwa kinyume naye anapewa matusi mpaka ya nguoni wakati mwingine mpaka wazazi wake hutukanwa. Lazima tukubaliane kutokukubaliana.
 
Aisee kwa sisi tunaotumia jf App wananikera watu wanao quote Uzi mrefu jamani wananiudhi Mimi. Wananikera Mimi jamaniiiiiii.

Tabia nyingine wanaume wengine humu Jf kama hawajielewi,wakitoka na wanawake wa jf kama hajampenda anakuja kuntangaza humu. Unatuhusu nini ilihali mlifuatana pm hadharani tujue nini unavoanzisha Uzi kumkandia.

Sipendi tabia ya wanaume kuanzia nyuzi kibao kuponda wanawake kila kukicha Mara kunuka K,nyie mbona Mnanuka midomo hamuanzishiwi Uzi!!!Mara single mamas hivi,jamaniiiii!!!!waaacheni na maisha yao...

Tabia nyingine inayokera mnabishana na mtu kwa hoja,akiona umempa hoja nzito anayoshindwa kuijibu aisee anaanza kukutupia comment za matusi,its weird kwa kweli
 
Back
Top Bottom