Je, ni tabia gani ambayo huipendi kwa members wenzako hapa JF?

Je, ni tabia gani ambayo huipendi kwa members wenzako hapa JF?

Hii nyngne imezuka juzjuz hapa ya kugombania #2... utaskia nmewahi leo, nmeshika sit ya mtu, first to reply Utadhan kuna mashndano au malipo labda

Sent using Jamii Forums mobile app from my Android phone
 
Nyngne mtu anaaanzsha mada yke ya maana wengne wanaleta mapenz, mizaha na utan katkat ya mada., NACHUKIa mno

Sent using Jamii Forums mobile app from my Android phone
 
Wanaojifanya wanajua zaidi kuliko wengine.

Wanao support kila aina ya ujinga hasa Kisiasa.

_______________________
 
emoji23.png
emoji23.png
emoji23.png


Sent using Jamii Forums mobile app

1. Matusi.
2. Watu Wajinga sana ambao hawawezi kuchangia mada, lakini wanataka kufanya attention ya mada kwenda Kwao, mfano wanasema neno moja umekosea katika sentensi yenye maneno 200. Lakini wao hata lugha yao ni mbaya zaidi ya yako.
3. Selfish, attention seeker, Extremist.
4. Wanaotumia IDs tofauti kuwashambulia wengine, pia kuwafuata watu kwenye uzi nyingine kutumia IDs tofauti.
5. Rude people.
 
Sipendezwi na mtu akichangia / au kutoa mada analazimisha kila mtu akubali alichosema yeye. Anayekuwa kinyume naye anapewa matusi mpaka ya nguoni wakati mwingine mpaka wazazi wake hutukanwa. Lazima tukubaliane kutokukubaliana.
Hahaha na kuna watu wana mijitusi humu cc Allepo
 
  • Thanks
Reactions: mij
Tabia za watu kujifanya wanajuana sana humu j.f zinakera sana! unaweza toa mada humu wakaanza kujadili ishu zao tuuuu.
 
Back
Top Bottom