Je, ni tatizo gani hufanya macho kuwa makengeza?

Je, ni tatizo gani hufanya macho kuwa makengeza?

wa stendi

JF-Expert Member
Joined
Jul 7, 2016
Posts
25,190
Reaction score
27,434
Wakuu poleni na mishughuliko ya hapa na pale kuna kitu hua nshindwaga kuelewa katika uumbwaji kwenye swala la mfumo w macho hivi ni nini hutokea hadi mtu kuwa na makengeza tena hutofautiana maana kuna aina zaidi tatu ya makengeza.
1akengeza yale macho kutizamana
2: makengeza yale ya kila jicho kutizama upande wake yaani jicho la kulia kutizama kulia na la kushoto kutizama kisho!
3: na makengeza ya jicho moja kuangalia juu na lingine kungalia mbele. Haya ni baadhi tuu ya niliobahatika kuonaje hadi macho kuwa hivyo huwa ni tatizo gani husababisha!!
 
Mi nataka pia kujua kama wenye makengeza wanaona vizuri.
 
Back
Top Bottom