Je, ni tofali ngapi zinahitajika ili kupandisha nyumba ya vyumba 3 mpaka kwenye linta?

mangimweusi

Member
Joined
Sep 14, 2018
Posts
51
Reaction score
38
Habar..wakuu!!
Wenye ujuzi kidogo na haya mambo ya ujenz
Baad ya kujichangachang nimefanikiwa kupat kaeneo sasa nilikuwa naitaji kuanza ujenz lakn kwa awamu km mnavyojua life lenyew ni la kuunga unga kwaiy nilichoamua ni kujenga room 3 kimoj master,stoo,jiko,daining,sitting room
Je ni tofal ngp naitajika kuwa nazo ili niwez kupandixh mapk kwenye linta..!! 2. Je wap ni imar na bei rahis kweny kununua tofal au kununua pia hap kweny kufwatua tofal itabid mchang ninunue
Asante nawasilishaa
 
Shikamoo baba mwenye nyumba mtarajiwa.[emoji537]

By the way, tafuta mafundi wa3 kila mmoja kwa muda wake;watakupa mchongo wote wa ujenzi mwanzo mwisho.

Sasa wewe utapembua a-z ya ujenzi.

Halafu mangi kununua tofali unaenda na Cash yako mfukoni[emoji383]
 
Thqnx.. Najua unakwenda na cash lkn nilikuwa natak kujua ubora wa tofali za kununua na kuwajili watu wanipigie ikiwa nawasimamia pia ghalam wap kuna kitonga hat nikasevu pesa kadhaa kwa jil ya mambo mengine
 
Thqnx.. Najua unakwenda na cash lkn nilikuwa natak kujua ubora wa tofali za kununua na kuwajili watu wanipigie ikiwa nawasimamia pia ghalam wap kuna kitonga hat nikasevu pesa kadhaa kwa jil ya mambo mengine

sasa mangi bado hujasema uko wapi.!

utaelekezwaje.? Kwani uko Kishumundu au Mabwepande.?[emoji55]
 
Weka floor plan tuone ukubwa ili uweze kupata msaada idadi ya tofali.Pia msingi unatumia wa tofali au mawe?. Ila kwa haraka haraka hapo andaa tofali si chini ya 2000.
 
Kama msingi utakuwa wa tofali unakula tofali 800 za msingi na nyumba kama tofali 2300 hivi kwa nyumba yenye vyumba vya futi kumi kwa hiyo andaa kama tofali 3000
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…