Je ni uungwana kuruhusu mke au mme kuwa na mawasiliano na mpenzi wake wa zamani?

Je ni uungwana kuruhusu mke au mme kuwa na mawasiliano na mpenzi wake wa zamani?

JUMONG

Senior Member
Joined
Sep 16, 2011
Posts
107
Reaction score
59
Kwa bahati mbaya sana katika jamii yetu ya sasa tofauti na zamani vijana wengi huingia ktk ndoa huku tayari walishakuwa na mahusiano na vijana wengine kimapenzi hapo kabla.Je ni ustaraabu kuruhusu mazoea kama vile ndugu za mpenzi wa mkeo au mmeo wa zamani kuja kumsalimia mkeo au mmeo au wakati mwingine mpenzi wa zamani wa mkeo au mmeo kuja kumsalimia mke au mme nyumbani?Naomba michango yenu wana jamii forum.
 
Hiyo ni sumu tena sumu mbaya mno sbabu mahawara hawaachani hata siku moja, pengine hawakugombana pindi walipoachana atakapomuona tena anaweza akaingiwa na tamaa kutaka kukumbushia kwahiyo hiyo issue kwangu NOOOOO!!
 
duh nijambo ambalo unatakiwa kuliepuka sana, usiruhusu litokee kuna ushawishi mkubwa kwa watu waliowahi kuwa wapenzi, epuka hilo
 
JUMONG
Unless there is something suspicious hakuna ubaya wowote. Ila bottom line is, I think it all depends on the involved patners.Kama hizo exes' visits zinamkera mmoja wao then as a consideration the other should limit and/or stop them. Otherwise kama there is nothing going on, watu kuachana wamesha achana , except for issue being "wivu" I dont' see nothing wrong!!
 
we chumong wewe........hebu mruhusu wa kwako awasiliane na wa zamani uone itakuwaje...hamjambo huko goguryeo? mi niko hapa buyeo na daeso anakusalimia......
 
big no! na km nmemwonya hakusikia basi namwachia aendelee nae! no matter wht!
 
Tatizo mna rahisisha rahisisha sana mambo sijui mnagonjweka (mnaumwa) au vipi?
Sitoi msimamo wngu ila nashauri jaribu kufikiri zaidi ya ulipoishia naamini utapata jibu zuri na hilo ndiyo ulifanyie kazi.
 
Dahhh
Huwezi kumkataza mtu kuwasiliana na mtu
Utamkataza kwa maneno na ye ata kubali
Kwa maneno . Lakini huwezi mlindi 24/7.
 
Huenda ikawa si vibaya lakini,inategemea na misimamo yao. Juzi galfriend wangu na dadake ambaye ni mke wa mtu walikuwa wanauguza mgonjwa hospitali. Wakakutana na mpenzi wa dadake galfriend wangu. Naye ana mke pia na alikuwa akiuguza pia. Cha ajabu walikuwa wakilala pamoja! Kwa siku kama 3 hivi! Ni watu waliopoteana kwa miaka mingi. Unaweza kuona!
 
Kwanza ujue kua Hawara hana Talaka,sasa unadhani utakapo mleta huyu shostito kwangu sawa naweza kujikaza kama nimekubali je wewe nikikuletea X wangu utaweza kumeza? kama ittakua poa kwako basi kwangu ndio oooooooooo mashemeji sijui ma wifi yani maghasia tele mpaka kama bubu utasema.....
 
Back
Top Bottom