Je ni vibaya mgonjwa kuhonga ili aokowe maisha yake?

Je ni vibaya mgonjwa kuhonga ili aokowe maisha yake?

SEGUZO

JF-Expert Member
Joined
Sep 30, 2016
Posts
280
Reaction score
198
Wakuu nataraji wote niwazima wa afya, kama tunavyojua wote rushwa ni kosa kwa sheria ya nchi na pengine kwa Mungu, kwa mtoaji na mpokeaji.
Swali langu mimi ni ikiwa mgonjwa mwenye hatari ya kupoteza maisha na katika kutibiwa kwake sharti ni kumhonga mhudumu wa afya.

Je akitoa rushwa ni dhambi kwa Mungu na kwa serikali?

774e423d7d4e4be28c97f00478cdcddd.jpg
3256c335764e14525cbc90d9a3b5d67f.jpg
3ddcaaa04dc9f976bd8e39d7b4bac4b6.jpg
 
Chagua uzima au pesa?inapobidi ni kujiongeza ili update Huduma ukileta uharakati ndugu unapotea.ni ngumu kumeza ila ndio hivyo hakuna namna..
 
Na asiyekuwa na uwezo wa kuhonga ataokoaje maisha yake!? Au maisha ya maskini/fukara hayana thamani?
 
Back
Top Bottom