mbalaka
JF-Expert Member
- Oct 7, 2017
- 2,240
- 2,629
kinachofanya useme walijenga wayaudi ni nini?Pyramid za Misri zilijengwa na waisrael walipokuwa utumwani misri katika nyakati za zamani kabla ya Christo BC.
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kinachofanya useme walijenga wayaudi ni nini?Pyramid za Misri zilijengwa na waisrael walipokuwa utumwani misri katika nyakati za zamani kabla ya Christo BC.
Mkuu funguka zaidi..Bujibuji ni taasisi ya aliens na UFO. Mada nyingine mnazozileta hapa hata sisi tunawashangaeni
nephils? and hiyo teknolojia kubwa walikua time travelers wakatembea hadi 2020 na kurudi tena BC?Asante sn mtoa mada.. Ila nadhan kuhusu teknolojia vimepita vizazi na vizazi na miaka na miaka kabla ya vizazi vyetu. Nadhan kuna kizazi kilipita na kikafa chote ambacho kilikuwa na majitu yenye nguvu (mfn goliath) na pia wenye uwezo wa kutumia teknolojia ya kisasa ambayo nayo pia ikaja kuja. Teknolojia isiyojulikana..
Sent using Jamii Forums mobile app