Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ikifika saa nne usiku fungua chanel 10, kuna tathilia moja ya kijana kuna dada anaongea km ulivyoandika hapa.Kwa maelezo hayo anastahili. Mpe ngumi moja matata.
Walipaswa kumalizana nyumbani kwao lakin Kwa kuwa wako hapo wanapaswa kuwa na adabu otherwise atembezewe kichapo sheeenz type!!Bro sijajua age yako ila ningekushauri waache wenyewe wamalizane.
Yaani mimi ni muumini wa "leave and observe from watchtower"
Tena ingependeza ukawa na life lako mwenyewe na sio kukaa home.
Tena ambaye akiwa mzima bila kulewa kulewa. Amwambie akikataa, siku asubiri akiwa hajalewa na ampiga kweli kweli.Kwa maelezo haya wewe ndo kiongozi wa familia, bro mkanye huyo shem wako tena mbele ya mama na dadaako tena uoneshe hasira za wazi.
hata kama watalia machozi ya damu ni bora kuliko dharau kwa familia nzima. Yaani usikubali machozi au maneno yao yaondoe heshima hata kidogo mliyonayo.
Kwani usipoonesha reaction yoyote basi jamaa ipo siku atataka kuvaa taulo hapo kwenu na kukutuma dukani ukamletee sigara. Mazoea hujenga tabia.
Mkuu hapa hiyo ni ndoa, wenye nayo wanaielewa, Kuna ndoa ugomvi ni sehemu Yao ya maisha na hawachani miaka nenda Rudi. Na wanaupendo wa dhati kabisa baina Yao. Nakusihi Kwa Ayala na paa wa nyika usiingilie wala kumpigia shemeji Yako. Kaa mbali.Nina dada yangu ambaye ameolewa.
Huyu dada yangu na Mme wake kila siku ni matatizo tu.
Maisha Yao yamekuwa kama movie tu.
Mara ana mpiga na kumfukuza nyumbani kwake baada ya miezi kazaa ana Rudi kumchukuwa mke wake
Wazazi ni watu wa Dini unajua kwenye ukristo na sheria Zatu ukimuacha mke Wako Bila talaka uyo bado Mke wako tu.
Licha ya Ivo dada yangu naye ana mpenda huyu Mme wake saana pamoja Na vituko vyote ambavyo anamfanyia lakini akirudi Kuja kumuomba msamaha cha ajabu ana msamehe Na wanarudiana Tena wakienda kukorofishana Tena anajileta nyumbani hata ukimkatalia Mama ana mtetea binti yake.
Jana alikuja nyumbani amelewa alikuja kuongeya na Mke wake dada yangu alikaribishwa nyumbani vizuri Na mke wake wakaanza kuongeya kwa upumbavu wao wakaanza kubebana hapa hapa nyumbani kwetu kwa kukosa adabu huyo Mme wake akaanza kutukana mke wake mbele ya familia na kibaya zaidi akaanza kutukana mpaka familia yangu sisi tulivyotaka kuingilia ili tumfunze adabu uyu bwege, dada yangu akaanza kumtetea Mme wake pamoja na kuona anavyo kosea familia yetu adabu bado akawa mpande wa uyo Mme wake tu.
Je, ni vizuri kumpiga shemeji Yako
Maana Kuna kitu nafikiria hapa
Haki ya mama shemeji angejuta kuelewa angechezea bakoraTena mlevi ningemtia vitasa ujinga wake akafanyie kwake huo.
Nisingemuacha ningemuacha na alama ili pombe zikimuisha atafute chanzo n kipi.Haki ya mama shemeji angejuta kuelewa angechezea bakora
Mwafrika ni mnyama kama fisi na hayawani wengine tu.Nina dada yangu ambaye ameolewa.
Huyu dada yangu na Mme wake kila siku ni matatizo tu.
Maisha Yao yamekuwa kama movie tu.
Mara ana mpiga na kumfukuza nyumbani kwake baada ya miezi kazaa ana Rudi kumchukuwa mke wake
Wazazi ni watu wa Dini unajua kwenye ukristo na sheria Zatu ukimuacha mke Wako Bila talaka uyo bado Mke wako tu.
Licha ya Ivo dada yangu naye ana mpenda huyu Mme wake saana pamoja Na vituko vyote ambavyo anamfanyia lakini akirudi Kuja kumuomba msamaha cha ajabu ana msamehe Na wanarudiana Tena wakienda kukorofishana Tena anajileta nyumbani hata ukimkatalia Mama ana mtetea binti yake.
Jana alikuja nyumbani amelewa alikuja kuongeya na Mke wake dada yangu alikaribishwa nyumbani vizuri Na mke wake wakaanza kuongeya kwa upumbavu wao wakaanza kubebana hapa hapa nyumbani kwetu kwa kukosa adabu huyo Mme wake akaanza kutukana mke wake mbele ya familia na kibaya zaidi akaanza kutukana mpaka familia yangu sisi tulivyotaka kuingilia ili tumfunze adabu uyu bwege, dada yangu akaanza kumtetea Mme wake pamoja na kuona anavyo kosea familia yetu adabu bado akawa mpande wa uyo Mme wake tu.
Je, ni vizuri kumpiga shemeji Yako
Maana Kuna kitu nafikiria hapa
Nyie wote na dada yako wajinga tupu.Licha ya Ivo dada yangu naye ana mpenda huyu Mme wake saana pamoja Na vituko vyote ambavyo anamfanyia lakini akirudi Kuja kumuomba msamaha cha ajabu ana msamehe Na wanarudiana Tena wakienda kukorofishana Tena anajileta nyumbani hata ukimkatalia Mama ana mtetea binti yake.
Inaonekana Dada yako ni Polygon anajua akiachwa ndio basi tena.Nina dada yangu ambaye ameolewa.
Huyu dada yangu na Mme wake kila siku ni matatizo tu.
Maisha Yao yamekuwa kama movie tu.
Mara ana mpiga na kumfukuza nyumbani kwake baada ya miezi kazaa ana Rudi kumchukuwa mke wake
Wazazi ni watu wa Dini unajua kwenye ukristo na sheria Zatu ukimuacha mke Wako Bila talaka uyo bado Mke wako tu.
Licha ya Ivo dada yangu naye ana mpenda huyu Mme wake saana pamoja Na vituko vyote ambavyo anamfanyia lakini akirudi Kuja kumuomba msamaha cha ajabu ana msamehe Na wanarudiana Tena wakienda kukorofishana Tena anajileta nyumbani hata ukimkatalia Mama ana mtetea binti yake.
Jana alikuja nyumbani amelewa alikuja kuongeya na Mke wake dada yangu alikaribishwa nyumbani vizuri Na mke wake wakaanza kuongeya kwa upumbavu wao wakaanza kubebana hapa hapa nyumbani kwetu kwa kukosa adabu huyo Mme wake akaanza kutukana mke wake mbele ya familia na kibaya zaidi akaanza kutukana mpaka familia yangu sisi tulivyotaka kuingilia ili tumfunze adabu uyu bwege, dada yangu akaanza kumtetea Mme wake pamoja na kuona anavyo kosea familia yetu adabu bado akawa mpande wa uyo Mme wake tu.
Je, ni vizuri kumpiga shemeji Yako
Maana Kuna kitu nafikiria hapa
Nyie vijana wa kiume ndiyo walinzi wa usalama wa nyumbani kwenu wakiwemo wazazi na dada zenu, hakuna jirani atakuja kuwatetea.Nina dada yangu ambaye ameolewa.
Huyu dada yangu na Mme wake kila siku ni matatizo tu.
Maisha Yao yamekuwa kama movie tu.
Mara ana mpiga na kumfukuza nyumbani kwake baada ya miezi kazaa ana Rudi kumchukuwa mke wake
Wazazi ni watu wa Dini unajua kwenye ukristo na sheria Zatu ukimuacha mke Wako Bila talaka uyo bado Mke wako tu.
Licha ya Ivo dada yangu naye ana mpenda huyu Mme wake saana pamoja Na vituko vyote ambavyo anamfanyia lakini akirudi Kuja kumuomba msamaha cha ajabu ana msamehe Na wanarudiana Tena wakienda kukorofishana Tena anajileta nyumbani hata ukimkatalia Mama ana mtetea binti yake.
Jana alikuja nyumbani amelewa alikuja kuongeya na Mke wake dada yangu alikaribishwa nyumbani vizuri Na mke wake wakaanza kuongeya kwa upumbavu wao wakaanza kubebana hapa hapa nyumbani kwetu kwa kukosa adabu huyo Mme wake akaanza kutukana mke wake mbele ya familia na kibaya zaidi akaanza kutukana mpaka familia yangu sisi tulivyotaka kuingilia ili tumfunze adabu uyu bwege, dada yangu akaanza kumtetea Mme wake pamoja na kuona anavyo kosea familia yetu adabu bado akawa mpande wa uyo Mme wake tu.
Je, ni vizuri kumpiga shemeji Yako
Maana Kuna kitu nafikiria hapa