Je, ni vyuo gani vinaongoza kwa kutoa wasomi walioiva vizuri Tanzania?

Nimepata kuwa kwenye Gymnasium sköla tulikuwa tunaangalia ubora wa vyuo hasa vya Afrika, ni aibu

Kwa Tanzania UDSM baada ya maprofesa kuingiza siasa na kushindana kuandika mathesisi,
Kimeshuka sana, japo Kwa TZ hakina Mpinzani ,
Pili chuo wali ki dismantle kwa kukigawa gawa mara UCLAS MUHAS vikaondoka,

Ukija upande mwingine, IFM, DIT, SUA na Mzumbe wako vema sana, baada ya UDSM

Udom siasa na UCCM mwingi sana., hata miundombinu si ya kutosha kwa baadhi ya Faculties


Britannica Encyclopedia
 

toa uchafu wako hapa
 
Mtoa mada unazingua kabisa...Kwa jinsi ulivyowasilisha mada yako ni dhahiri kabisa pasi na Shaka jibu tayari unalo au unataka jibu la aina gani kuhusu chuo Bora ni kipi... Nikushauri tu Kama still upo chuo mpaka Sasa tumia muda kusoma kwa juhudi uwe vizuri hasa katika practicing uwe bora wewe Kama wewe na sio kuteletea mada mufilisi Kama hizi...
 
Thats point!!! uzuri wa elimu ni kutumikiakile ulichojifunza na siokwamba unamiliki cheti cha chuo gani, kunakijana ana CPA lakini ni mweupehata Bank Reconciliation kutayarisha hawezi ila anaonekana bonge lamuhasibu kwa vile tu ana CPA. Kubwa ni uwezo wa mwwanachuo baada yakuipata gamba nakuingia mtaani ni elimu gani aliyokuja nayo
 
Hiki ni chuo cha masela na ma sister du wanaosoma degree kuongeza bei yao sokoni
Siyo kweli! Ni chuo Kikuu pekee Tanzania na east Africa kinachofundisha na kujihusisha na maswala ya Ushirika. Karibu ujionee maarifa mapya na namna ya kufungua ubongo wako uweze kufanikisha maendeleo yako binafsi na ya nchi.
 
Unazungumzia katika profession ipi mkuu?
Km katika kozi za afya ni Aghakan ile ni international university.Kuna Hindumandal pia. Kairuki kikifuata.
 
Mkuu Elimu ya chuo kidogo imekaa kimtindo ambao mwanafunzi anapaswa kujiongeza kwa Africa huku kwa kweli kwa swala la kwenda na curriculum bado sana utashnagaa modules zilipo kwenye vyuo vyetu ziko outdated, Usmart wa graduate unakuja pale tu akiwa mtu wa kujiongeza haswa kusoma vitabu ili kupanua uwezo out of modules zake hakuna chuo nchini apa kina shape graduate kweli aka meet ata soko la Africa tu kila sehemu nikujiongeza
 
Dar es salaam maritime institute, Africa viwili tu kingne magharibi njoo kwa mabaharia pale watu wachache wanajua nn wanafanya Unique africa achana na mbwembwe za udsm na aridhi
 
Tanzania tuna wasomi waliosomea ujinga! Hehehe.....
 
Unazungumzia katika profession ipi mkuu?
Km katika kozi za afya ni Aghakan ile ni international university.Kuna Hindumandal pia. Kairuki kikifuata.
Hapa Bongo Kuna chuo kinaitwa Hindumandal au vipi mkuu
 
Hakuna aliejibu hii hata Mimi mwenyewe. Hii ndio post bora kabisa. Maprofesa wengi ukiwatoa chuoni hawajui chochote kuendesha maisha. Wakistaafu ni kupata stroke na kufa baaaasi.
 
Nimefanya kazi kwa miaka 20 sasa ila nikiri wazi WAHITIMU KUTOKA MZUMBE UNIVERSITY hasa wale kutoka kada za UHASIBU, SHERIA NA UTAWALA wanakuwa smart sana.. UDSM pia wapo smart ila si sawa na wale wa mzumbe..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…