Je, ni vyuo gani vinaongoza kwa kutoa wasomi walioiva vizuri Tanzania?

Je, ni vyuo gani vinaongoza kwa kutoa wasomi walioiva vizuri Tanzania?

Wewe umewahi soma chuo chochote kweli?? Mbona hata kuandika vizuri hujui??
Hebu soma ulichokiandika kisha ulete mrejesho.
Dar es salaam maritime institute, Africa viwili tu kingne magharibi njoo kwa mabaharia pale watu wachache wanajua nn wanafanya Unique africa achana na mbwembwe za udsm na aridhi
 
Nimepata kuwa kwenye Gymnasium sköla tulikuwa tunaangalia ubora wa vyuo hasa vya Afrika, ni aibu

Kwa Tanzania UDSM baada ya maprofesa kuingiza siasa na kushindana kuandika mathesisi,
Kimeshuka sana, japo Kwa TZ hakina Mpinzani ,
Pili chuo wali ki dismantle kwa kukigawa gawa mara UCLAS MUHAS vikaondoka,

Ukija upande mwingine, IFM, DIT, SUA na Mzumbe wako vema sana, baada ya UDSM

Udom siasa na UCCM mwingi sana., hata miundombinu si ya kutosha kwa baadhi ya Faculties


Britannica Encyclopedia
Mimi nimesoma UDOM kwa miaka mitatu mbona SIASA sikuziona? Na kuhusu miundombinu mbona ipo ya kutosha labda uainishe hiyo miundombinu ya aina ipi kwa mfano?
 
Wanajamvi tunaweza ona ni jinsi gani vyuo vikuu kuna ambavyo ni bora university na kuna vingine ni university smart.

Sasa ndugu zangu naomba hebu tujadili kuhusu institute pia maana kuna institutes ambazo zinatoa wanafunzi ambao ni bora zaidi hata ya wale walio somea UDSM au UDOM.

Hasa katika kada za BIASHARA ( business administrations, procurement managers,accountancy, etc

Naombeni mtueleweshe vizuri maana najua humu kuna watu ambao wana ufahamu wa haya mambo

ASANTE.....

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom