Je, ni vyuo gani vinaongoza kwa kutoa wasomi walioiva vizuri Tanzania?

Je, ni vyuo gani vinaongoza kwa kutoa wasomi walioiva vizuri Tanzania?

Kama kichwa cha habari kinavyojieleza, karibuni tujadili bila upendeleo wala chuki yoyote. Mfano inajulikana wanafunzi wengi wanaosoma University of Dodoma ni wale ambao alama zao hazikutosha kusoma University of Dar es salaam n.k hivyo kujikuta wanaangukia kwenye kapu la Udom.

Vivo hivyo wanafunzi wengi wa SAUT ni wale ambao wamejikongoja kutoka shule za kata na wengine wale waliofaulu kwa kurudia mitihani( reseaters) na wale ambao wameunga unga kwa nguvu kuanzia certificate, diploma mpaka degrees.

Kuna wale wa vyuo kama Sebastian Kolowa, Meru University, St Joseph and the likes ambako wanaenda wale ambao lengo lao ni kusomeka ana degree bila kujali hiyo degree imetoka chuo gani.

NB: Karibu tuchangie kwa uhuru na bashasha
Utangulizi wako tu umeshaonesha bias.
 
Dar es salaam maritime institute, Africa viwili tu kingne magharibi njoo kwa mabaharia pale watu wachache wanajua nn wanafanya Unique africa achana na mbwembwe za udsm na aridhi
Yes iko chuo kiko vizuri , mmenikumbusha mshikaji wangu alisoma hapo , F.mkali, sijui Yuko wapi now
 
mtu ukikosa sifa ya kwenda UDSM unabadiliia na kuwa hater wa UDSM. UDSM ni chuo kinachochukua cream yote ya ufaulu yaani div one na two kali ndo wanadahiliwa UDSM sasa mtu unapokuja kulinganisha UDSM na OPEN mara na SEKOM au SAUT nakua na mashaka na elimu yako na uwezo wako wa kufikiri
No, sio kweli , wengine hawajachagua udsm makusudi
 
mtu ukikosa sifa ya kwenda UDSM unabadiliia na kuwa hater wa UDSM. UDSM ni chuo kinachochukua cream yote ya ufaulu yaani div one na two kali ndo wanadahiliwa UDSM sasa mtu unapokuja kulinganisha UDSM na OPEN mara na SEKOM au SAUT nakua na mashaka na elimu yako na uwezo wako wa kufikiri
Kweli hata mimi, kipindi tulipokuwa advance rafiki zangu wengi walikuwa wanawaza udsm na mimi sikuwa nikifikira kabisa.
Ila baada ya wote kukosa na fasi udsm na mimi kwenda udsma, wamegeuka heters na wanakiponda sana. Ila nawaambiaga NI WIVU TU
 
UDSM ni chuo bora siku zote, ila siku za karibuni School of Business wanazingua sana... Political Science bado wako nondo sana
 
Yes iko chuo kiko vizuri , mmenikumbusha mshikaji wangu alisoma hapo , F.mkali, sijui Yuko wapi now
mzee apa tuna bachelor in shipping & logistics management, shipping hawajawai kumaliza walotangulia wako mwaka wa pili, pia kuna maritime tranansportation, na maritime engineering technology izo ndo za degree tu watu ka 230 ivi
 
Aghakhan kipo kinondoni urambo streets.
Kinatoa kozi za Pharmaceuticals,Medical doctor,Specialisation ya magonjwa tofauti, midwifery.
Hiko cha Hindu sasa hakipo hapa mkuu hapa kuna shule zake ukitaka chuo itabidi upate pipa.
Lakini hawa watu wawili kuna ubia kat yao kwa namna flan wote si wahindi hawa?
Chuo ni Agakhan University au Hindu Mandali!?? Na kipo wapi hicho Kama n constitute University!?? Na programmes zake ni zipi
 
SUA ndiyo baba lao ukijilaza tu tukutane kesho kama kuruti hivi mambo ni mperampera
 
Kwa SUA ule msuli wa advance wa PCM, PGM na PCB unakuwa x2 ili utoboe na kuwa competent
 
Chuo bongo ni SUA ,udsm ya sasa hakuna kitu wasomi wengi wamepuyanga kwelikweli
SUA ilikua zamani..siku hizi nao hamna kitu kabisa!!
Tafiti zao nyingi zinaishia makabatini tu na hakuna physical output yeyote
 
Back
Top Bottom