Salary Slip
Platinum Member
- Apr 3, 2012
- 49,390
- 152,301
Nauliza swali hili kwa lengo la kujiridhisha kuhusiana na taarifa fulani ila kwa sasa naona sio busara kuzitaja ila majibu yatanisaidfia kupata walau picha halisi.
Naomba tujuzane kama kuna watumishi ambao bado hawapata mishahara mpaka leo hii.
Naomba tujuzane kama kuna watumishi ambao bado hawapata mishahara mpaka leo hii.