Je, ni wakati gani sheria inamlazimu refa kwenda VAR?

Je, ni wakati gani sheria inamlazimu refa kwenda VAR?

Inatumika mchezaji akipewa kadi nyekundu moja kwa moja itakayolalamikiwa au kuonekana ni ya kionevu. Ila kwenye kadi ya njano huwa ni maamuzi ya refa hayaingiliwi na VAR iwe ya uonevu au ukweli
Kama ni hivyo basi walioamua hivyo ni vilaza sana maana kadi iwe njano au nyekundu zote zinaiathiri timu na kumwathiri mchezaji husika.
 
Inatumika mchezaji akipewa kadi nyekundu moja kwa moja itakayolalamikiwa au kuonekana ni ya kionevu. Ila kwenye kadi ya njano huwa ni maamuzi ya refa hayaingiliwi na VAR iwe ya uonevu au ukweli

Duh

Ila leo Refa aliwaamulia wa tz
 
Refa wa kati kuwa na uhakika sidhani kama ni sababu ya var kutotumika mfano refa wa kati anaweza kuamua ni penati au sio penati lakini var wakiona kuna utata watamwambia akahakikishe kama ni penati kweli au sio penati kweli. Chakujiuliza kwa nini matukio mengine ambayo yanaonekana yana utata var hawamwambii refa wa kati?
Ukiona kafanya maamuzi na hajaitwa kwenye VAR ujue maamuzi yake ni sahihi pale uwanjani refa huwa anawasiliana na watu wa VAR
 
Yani manula sijui kwanini anakua kipa, au uchawi upo
 
Ukiona kafanya maamuzi na hajaitwa kwenye VAR ujue maamuzi yake ni sahihi pale uwanjani refa huwa anawasiliana na watu wa VAR
Sio kweli kwamba yanakuwa ni sahihi ila sema var wanakuwa wamepiga kimya tu kwa sababu wanazozijua wao au refa wa kati kapuuzia.Kuna matukio mfano goli limefungwa kwa mpira uliokuwa umetoka nje lakini var inapiga kimya refa anaweka kati , na hapo huwezi kusema hakukuwa na utata maana replay inaonesha mpira ulikuwa umetoka.
 
Ukiondoa yule mchezaji mzanzibar beki wa yanga nondo mwamnyeto na Mdathir walikuwa vituko uwanjani
 
Kama Timu tulikua na gep kubwa katiyetu na Morocco kwenye ishu ya uwezo ila refa alikua mpuuzi zaidi labda ulitumika kanuni ya aliyenacho huongezwa na asiyenacho hunyang'anywa ata kidogo alichonacho.
 
Back
Top Bottom