Je, ni wakati sasa Simba Sports Club kutafuta free kick specialist au waliopo wana uwezo huo?

ana magoli kama 4 mashindano yote tangu mwaka jana...una swali lingine?
Kapiga faulo ngapi? Na Je, amewahi kuwa mfungaji bora kwenye hizo freekicks ili Simba ikamnunue mtu wa hivyo popote alipo?
 
Simba ina tatizo la set pieces either wapate wao au ipigwe upande wao ni tatizo la mda mrefu sana toka kipindi kile wanafungwa goli tano tano kutoka kwa al ahly na as vita.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…