Je, ni wakati sasa wa Jeshi letu kuwa na Technological Defense Command (Technological Warfare Command)?

Je, ni wakati sasa wa Jeshi letu kuwa na Technological Defense Command (Technological Warfare Command)?

Wewe si unataka ulinzi wa kijeshi ambao unasema sio wa gharama. Mimi nakwambia kama una uwezo anzisha private firm ya cyber security. Russia wana cyber warfare capabilities lakini haikumzuia Kasperky kuanzisha private firm. US vilevile haikumzuia yule jamaa wa McAfee kuianzisha.

Kuna makampuni mengi sana binafsi yanashiriki katika ulinzi na yanapewa tenda duniani. Anza wewe kwenye tech masuala ya chemical warfare wakati hata Salin gas hatujui kutengeneza tutayatoa wapi. Hata mabomu ya machozi tunanunua.
Dah,shida yako ni kuthibitisha kwamba haiwezekani,haifai ama?
 
Tatizo jeshi letu lina usiri saana lakini amini nakwambia hicho kitengo kipo na kwa East Africa we are the best tukifuatiwa na Rwanda (rwanda wao wanafundishwa na Israel na Russia)

Tz wanapewa mafunzo na china na nchi X na Y (hizi X na Y zina vikwazo so ....)
 
Tatizo jeshi letu lina usiri saana lakini amini nakwambia hicho kitengo kipo na kwa East Africa we are the best tukifuatiwa na Rwanda (rwanda wao wanafundishwa na Israel na Russia)

Tz wanapewa mafunzo na china na nchi X na Y (hizi X na Y zina vikwazo so ....)
Cuba na Norte Korea 😂😂😂
Nalog off
 
Tatizo jeshi letu lina usiri saana lakini amini nakwambia hicho kitengo kipo na kwa East Africa we are the best tukifuatiwa na Rwanda (rwanda wao wanafundishwa na Israel na Russia)

Tz wanapewa mafunzo na china na nchi X na Y (hizi X na Y zina vikwazo so ....)
Hakuna tatizo kwenye jeshi kuwa na siri na hakuna jeshi lisilo la siri.

Haimaanishi Rwanda kufundishwa na Israel + Russia kwamba ndo iwe vizuri. Unaweza fundishwa na South Korea ukawa mtabe kuliko wenzako wote. Sisi kufundishwa na nchi zenye vikwazo bado haina tatizo tena hizo zenye vikwazo ziko vizuri mno kijeshi maana huwa zina ukorofi mkubwa. Imagine Iran anaweza kushambulia vituo vya US unadhani angekuwa mzembe angetoa wapi jeuri.

Majeshi ya nchi kadhaa hasa Uganda na DRC yanakuwa na graduates hapa chuo cha Monduli hivyo nakuwa na imani na uwezo wetu.
 
Hakuna tatizo kwenye jeshi kuwa na siri na hakuna jeshi lisilo la siri.

Haimaanishi Rwanda kufundishwa na Israel + Russia kwamba ndo iwe vizuri. Unaweza fundishwa na South Korea ukawa mtabe kuliko wenzako wote. Sisi kufundishwa na nchi zenye vikwazo bado haina tatizo tena hizo zenye vikwazo ziko vizuri mno kijeshi maana huwa zina ukorofi mkubwa. Imagine Iran anaweza kushambulia vituo vya US unadhani angekuwa mzembe angetoa wapi jeuri.

Majeshi ya nchi kadhaa hasa Uganda na DRC yanakuwa na graduates hapa chuo cha Monduli hivyo nakuwa na imani na uwezo wetu.
fact, na kuna military technology transfer kati yenu na kichwa ngumu wa Asia so mpo vzr kiasi fran

Rest in Peace mzee maiga
 
Hapana,unajua kwamba gharama za technology ni ndogo zaidi kuliko kulisha wanajeshi wengi?
Inadhan ukiwa na tek olojia ndo hawatskuwa na njaa au matumbo? Nci zenye tek olojia kubwa bajeti yao imekuea ndogo au kubwa kuliko sisi?
 
Back
Top Bottom