Je, ni wakati sasa wa kumuuzia Elon Musk shirika la TANESCO?

Je, ni wakati sasa wa kumuuzia Elon Musk shirika la TANESCO?

Mr Chromium

JF-Expert Member
Joined
Aug 20, 2020
Posts
2,761
Reaction score
3,835
Kwa reputation yake nzuri ya biashara ni vema Tanesco ikauzwa kwa muwekezaji mkubwa kama Elon musk!!
  • Suala la kukatika umeme itakua n hadith za abunuasi
  • Atawalipa fidia waliopata hasara kisa umeme
  • Ataongeza uwingi wa umeme had 100,000Megawat

IMG_9197.jpg


NB: Nawaza kwa sauti! wazo halipingwi linajibiwa kwa hoja
 
Kwa reputation yake nzuri ya biashara ni vema Tanesco ikauzwa kwa muwekezaji mkubwa kama Elon musk!!
-Swala la kukatika umeme itakua n hadith za abunuasi
-Atawalipa fidia waliopata hasara kisa umeme
-Ataongeza uwingi wa umeme had 100,000Megawat
nView attachment 2757109

NB: Nawaza kwa sauti! wazo halipingwi linajibiwa kwa hoja
CCM.... and take it away from us
 
TANESCO apewe Elon CCM watapata wapi tena fursa ya kuiba pesa kama zile za escrow na Richmond.
 
Mambo mengine hatuwezi kuwekeza hata kama hatuna teknolojia kubwa ya kisasa tutaenda nayo hivyohivyo. TANESCO ni shirika kubwa na nyeti kwa mambo ya ulinzi na usalama wa nchi.
 
Kwa reputation yake nzuri ya biashara ni vema Tanesco ikauzwa kwa muwekezaji mkubwa kama Elon musk!!
-Swala la kukatika umeme itakua n hadith za abunuasi
-Atawalipa fidia waliopata hasara kisa umeme
-Ataongeza uwingi wa umeme had 100,000Megawat
nView attachment 2757109

NB: Nawaza kwa sauti! wazo halipingwi linajibiwa kwa hoja
Twitter inamshinda, ataweza Tanesco?
 
Kwa reputation yake nzuri ya biashara ni vema Tanesco ikauzwa kwa muwekezaji mkubwa kama Elon musk!!
-Swala la kukatika umeme itakua n hadith za abunuasi
-Atawalipa fidia waliopata hasara kisa umeme
-Ataongeza uwingi wa umeme had 100,000Megawat
nView attachment 2757109

NB: Nawaza kwa sauti! wazo halipingwi linajibiwa kwa hoja
Kwa huyu jamaa, wafanyakazi watakua wanalala kazini.. Sio poa
 
Back
Top Bottom