Atimae wapogoro tumefikiwa kazi kweli kweliWapogoro na wachaga
kumbuka wanafamilia ndo wadau wako, hivo mke asikutoe kwa wadau wakoBaba yangu aliwahi kuniambia hivi.... huyo ni mke wako wewe peke yako, na akaongeza huyo sio mke wetu.
Baba mkwe wangu aliwahi kuniambia hivi.... huyo ni mke wako na hana mamlaka ya kuja kwao pasipo ruhusa/barua yako.
Skuizi nikikaa natafakari haya maneno hua naona yana maana kubwa sana, kisha namwambia mke wangu ebu tuishi kwa amani na upendo.
Mkuu, hakuna na haijawahi tokea kanuni maalum inayotoa muongozo namna ya kuishi na mke...kumbuka wanafamilia ndo wadau wako, hivo mke asikutoe kwa wadau wako
kumbuka tunaishi socially
Nakua naolewa na ukoo mzima? Yeyote anaweza kuniorder chochote?.shemeji anaweza kunibwagia majinzi nifue mi mke wao sio??Utaishi na mtu mmoja ila hauolewi na mmoja bila hivyo mngechukuana kimya kimya.
Na kuna tofauti kubwa kati ya kuishi socially na kuishi kwenye ndoakumbuka wanafamilia ndo wadau wako, hivo mke asikutoe kwa wadau wako
kumbuka tunaishi socially
Wanitue😆Kujihesabia part ya ukoo wa mtu haina kabila inategemea na mahusiano yaliyopo baina ya hao watu.....mama mkwe hakupendi mawifi hawakuelewi utaenda kujihesabia huko ili iwe nini sasa???
#nikifankazikwe kenya😁
📌📌Kuna siku mwanasheria wangu Leak aliandika vema sana kuhusu upendo wa ndugu wa mme, aliongelea mawifi specific.....ili mawifi wakupende inabidi uwe mmoja kati ya haya 1: uwe chizi yani kama fyatu ukikaa nao upige kazi kama punda yani uwe kama beki tatu kwao 2: uwe na hela ukijipindua hivi unaprovide tofauti na hapo ni wachache sana wenye upendo
Kwahiyo ukiwa huna hela na hauna uchizi🤭🤭🤭
Kwamba nikitaka kwenda salimia home hadi mume anipe barua ya uthibitisho?? Weee.basi rahaBaba yangu aliwahi kuniambia hivi.... huyo ni mke wako wewe peke yako, na akaongeza huyo sio mke wetu.
Baba mkwe wangu aliwahi kuniambia hivi.... huyo ni mke wako na hana mamlaka ya kuja kwao pasipo ruhusa/barua yako.
Skuizi nikikaa natafakari haya maneno hua naona yana maana kubwa sana, kisha namwambia mke wangu ebu tuishi kwa amani na upendo.
Kumbe ndoa ina stakeholders kuna mengi siyajui kumbe hahahahWana ukoo ni wadau wa hiyo ndoa, stakeholders.
hakuna ndoa ya mtu mmoja. kama familia haikutaki hiyo siyo ndoa, utajuta baadae
Mniue tuKumbe ndoa ina stakeholders kuna mengi siyajui kumbe hahahah
Nimecheka🤣🤣🤣🤣Wanitue😆
Wee waache ipo siku hawa watu watawehuka kwa kuifikiria Kaskazini kwa kila kitu.Abee
Kaskazini again?
Mnatuwaza? Mbona tutawakondesha hii week [emoji1787][emoji2223]
Kwa hiyo Evelyn, ukifa utakwenda kuzikwa huko kwenu Kenya. Hutaki kabisa kuzikwa nchi alikozaliwa mumeo?Kujihesabia part ya ukoo wa mtu haina kabila inategemea na mahusiano yaliyopo baina ya hao watu.....mama mkwe hakupendi mawifi hawakuelewi utaenda kujihesabia huko ili iwe nini sasa???
#nikifankazikwe kenya😁
utajuahujuiKumbe ndoa ina stakeholders kuna mengi siyajui kumbe hahahah
Hauna ruhusa ya kwenda kwenu pasipo mimi kutoa taarifa...🤨Kwamba nikitaka kwenda salimia home hadi mume anipe barua ya uthibitisho?? Weee.basi raha
Mi ni mtanzania nimejichagulia tu kenya🤣Kwa hiyo Evelyn, ukifa utakwenda kuzikwa huko kwenu Kenya. Hutaki kabisa kuzikwa nchi alikozaliwa mumeo?
Ohh..mie nilijua natakiwa kukuambia ushimen naplan kwenda nyumbani tarehe fulani ...kumbe hadi hayo!raha sanaHauna ruhusa ya kwenda kwenu pasipo mimi kutoa taarifa...🤨
Na ikitokea umejiamulia tu kwamba unaenda kwenu, nimetoka zangu shamba nakuta haupo....🤔 basi hapo napaswa nijiongeze tu mkuu..😎