[emoji1787][emoji1787][emoji1787]nafanya vyote mke anavyotakiwa kufanya Kwa mume lakin bado naambiwa simtii.Ndo nilikua nataka nieleweshwe labda Kuna maana nyingne ya utiiNaamini upo kanda hiyo pia.
Anyways, utii siyo kupiga magoti wala kutoa shikamoo kwa sana.
Utii ni kutomdharau mwenza, kutoinua ssuti kujibizana kama wauza mitumba, kutomsema kwa watoto vibaya. Kutokumsonya, kutomzingua wakati wa kuchakatana na kadhalika.
Kinachohitajika ni Hekima na Busara
Ni kweli Ila Kuna type ya watu ambao automatically ... Mtaburuzana tu..ili maisha yaende.. .. !Naamini upo kanda hiyo pia.
Anyways, utii siyo kupiga magoti wala kutoa shikamoo kwa sana.
Utii ni kutomdharau mwenza, kutoinua ssuti kujibizana kama wauza mitumba, kutomsema kwa watoto vibaya. Kutokumsonya, kutomzingua wakati wa kuchakatana na kadhalika.
Kinachohitajika ni Hekima na Busara
Kuna familia nyingne ukienda kusalimia Kwa wakwe baada ya salamu baba,mama na mtoto wao wanaingia chumban kuongea wewe unaachwa hapo sitting room unashangaa tu.Je familia kama hiyo na wewe utajihesabia ni party ya hiyo family?Tatizo sio kuwa sehemu ya ukoo wa mume ila swala ni je huo ukoo wenyewe wanakuona kama part of them?
Mana kuna ndugu wa mume kuanzia mama mkwe adi walobaki ni hatari tupu
Kujihesabia part ya ukoo wa mtu haina kabila inategemea na mahusiano yaliyopo baina ya hao watu.....mama mkwe hakupendi mawifi hawakuelewi utaenda kujihesabia huko ili iwe nini sasa???
#nikifankazikwe kenya[emoji16]
😄 yan weweKahamia Mwanza undisclosed location🤣
Halafu unamzeesha aisee. Binti shanta shanta hajafikia kuitwa (ji)mama bana🤣🤣🤣
Wameacha njia salama za kutafuta mke awaangalii asiliWaulize tu mwanangu.
Ni kama wanaume wanateseka sana na ndoa miaka hii.
Mi nimeondoka na haya maelezo yaan ni kmNi kama wanaume wanateseka sana na ndoa miaka hii.
Bado hatujamaliza mboni unataka kuzima mziki DJ namna gan ?Adanteni nyote kwa kutenga muda wenu adimu kushare ndani uzi huu hakika imekuwa jambo jema sana
Karibu kasikazini shemeji🤣Shemeji....😊
Naona unanisagia kunguni kama kawaida yako...🤨
Without a doubt ni majinamizi ya talaka "Mademu wa Kichagga na Kipare."Hello JF family,
Ndoa ni muunganiko wa familia na koo za pande mbili, katika pitapita zangu nimepata sikia yapo baadhi ya makabila wanawake wakiolewa hawqjihesabii kuwa sehemu ya familia na ukoo wa mume. Hata wakiolewa wana ukwao au unyumbani mwingi na kamwe hawana mguso thabiti na wa kweli na familia ya mume.
Kwa wanaofahamu au wenye dondoo ya hayo makabila tafadhari tutajia na weka ka experience au visa au kisa chochote.
Na hii ikawe chachu na chemichemi ya kutupa mwanga sahihi sisi wapinga ndoa na kataa kuoa. Sio kesi ni mtizamo tu na maamuzi, tuache makasiriko sisi wapinga ndoa ni watu pia.
Tupeni mwanga tujue Ila tuanze fikra za kuoa.
Inshallah
Wadiz
Unauliza jibu, Wapare na WachagaHello JF family,
Ndoa ni muunganiko wa familia na koo za pande mbili, katika pitapita zangu nimepata sikia yapo baadhi ya makabila wanawake wakiolewa hawqjihesabii kuwa sehemu ya familia na ukoo wa mume. Hata wakiolewa wana ukwao au unyumbani mwingi na kamwe hawana mguso thabiti na wa kweli na familia ya mume.
Kwa wanaofahamu au wenye dondoo ya hayo makabila tafadhari tutajia na weka ka experience au visa au kisa chochote.
Na hii ikawe chachu na chemichemi ya kutupa mwanga sahihi sisi wapinga ndoa na kataa kuoa. Sio kesi ni mtizamo tu na maamuzi, tuache makasiriko sisi wapinga ndoa ni watu pia.
Tupeni mwanga tujue Ila tuanze fikra za kuoa.
Inshallah
Wadiz
Ndoa ya kazi gani sasa.Waulize tu mwanangu.
Ni kama wanaume wanateseka sana na ndoa miaka hii.
Wote huo ni unafiki tu! Mke au mume hawezi kuwa ndugu yako. Wanao oana ndio wanakuwa wameingia mkataba wa ndoa- mkataba unaweza kuvunjika wakati wowote , sasa undugu unatoka wapi? Kwahiyo kihalisia hakuna kabila linalomzidi mwingine, ila yanaweza kuzidiana kwenye kucheza huo mchezo wa maigizo. Siku hizi maigizo yapo mengi sana!Hello JF family,
Ndoa ni muunganiko wa familia na koo za pande mbili, katika pitapita zangu nimepata sikia yapo baadhi ya makabila wanawake wakiolewa hawqjihesabii kuwa sehemu ya familia na ukoo wa mume. Hata wakiolewa wana ukwao au unyumbani mwingi na kamwe hawana mguso thabiti na wa kweli na familia ya mume.
Kwa wanaofahamu au wenye dondoo ya hayo makabila tafadhari tutajia na weka ka experience au visa au kisa chochote.
Na hii ikawe chachu na chemichemi ya kutupa mwanga sahihi sisi wapinga ndoa na kataa kuoa. Sio kesi ni mtizamo tu na maamuzi, tuache makasiriko sisi wapinga ndoa ni watu pia.
Tupeni mwanga tujue Ila tuanze fikra za kuoa.
Inshallah
Wadiz
Wanawake toka matrilineal au wanaofuata ukoo wa mama ndiyo hawajihesabu kama sehemu ya familia ya mume. Haya makabila ni mengi TZ, ila sasa hivi naona hawafuati tena huu utamaduni. Ili huu utamaduni kudumu ni lazima waone wao kwa wao, wakitoka nje tu, wanafuata mila ya mme.Hello JF family,
Ndoa ni muunganiko wa familia na koo za pande mbili, katika pitapita zangu nimepata sikia yapo baadhi ya makabila wanawake wakiolewa hawqjihesabii kuwa sehemu ya familia na ukoo wa mume. Hata wakiolewa wana ukwao au unyumbani mwingi na kamwe hawana mguso thabiti na wa kweli na familia ya mume.
Kwa wanaofahamu au wenye dondoo ya hayo makabila tafadhari tutajia na weka ka experience au visa au kisa chochote.
Na hii ikawe chachu na chemichemi ya kutupa mwanga sahihi sisi wapinga ndoa na kataa kuoa. Sio kesi ni mtizamo tu na maamuzi, tuache makasiriko sisi wapinga ndoa ni watu pia.
Tupeni mwanga tujue Ila tuanze fikra za kuoa.
Inshallah
Wadiz
Hello JF family,
Ndoa ni muunganiko wa familia na koo za pande mbili, katika pitapita zangu nimepata sikia yapo baadhi ya makabila wanawake wakiolewa hawqjihesabii kuwa sehemu ya familia na ukoo wa mume. Hata wakiolewa wana ukwao au unyumbani mwingi na kamwe hawana mguso thabiti na wa kweli na familia ya mume.
Kwa wanaofahamu au wenye dondoo ya hayo makabila tafadhari tutajia na weka ka experience au visa au kisa chochote.
Na hii ikawe chachu na chemichemi ya kutupa mwanga sahihi sisi wapinga ndoa na kataa kuoa. Sio kesi ni mtizamo tu na maamuzi, tuache makasiriko sisi wapinga ndoa ni watu pia.
Tupeni mwanga tujue Ila tuanze fikra za kuoa.
Inshallah
Wadiz
Kauli mbiu yenu inachukulia kama mke ndio shida katika ndoa. Chukulia mfano mume amefariki, mke yuko nyumbani kwa familia ya mumewe msibani, wameshazika, anaambiwa, tunachukua hiki na kile cha kaka yetu, ilhali kuna mtoto, je hapo bado atajihesabia ni mmoja wa familia ya mumewe?Hello JF family,
Ndoa ni muunganiko wa familia na koo za pande mbili, katika pitapita zangu nimepata sikia yapo baadhi ya makabila wanawake wakiolewa hawqjihesabii kuwa sehemu ya familia na ukoo wa mume. Hata wakiolewa wana ukwao au unyumbani mwingi na kamwe hawana mguso thabiti na wa kweli na familia ya mume.
Kwa wanaofahamu au wenye dondoo ya hayo makabila tafadhari tutajia na weka ka experience au visa au kisa chochote.
Na hii ikawe chachu na chemichemi ya kutupa mwanga sahihi sisi wapinga ndoa na kataa kuoa. Sio kesi ni mtizamo tu na maamuzi, tuache makasiriko sisi wapinga ndoa ni watu pia.
Tupeni mwanga tujue Ila tuanze fikra za kuoa.
Inshallah
Wadiz