Je niachane nae?

Gudboy

JF-Expert Member
Joined
Aug 14, 2009
Posts
867
Reaction score
82
Wadau wa JF mimi ndugu yenu nina katatizo kidogo kwenye mahusiano na binti mmoja anasoma mzumbe university. Huyu mtoto ni mkali kweli kweli, lakini tatizo lake anaomba sana pesa, voucher na vijizawadi vidogo vidogo. Mimi hii kasumba ya kuombwa ombwa sikuzoea na wote nilokua nao kabla hawana tabia ya kuomba omba hadi niwape mwenyewe. Huyu bwana anaomba si mchezo. Mbaya zaidi ukimtumia hiyo voucher hata hakupigii na utashanga kesho tena anakubip. nimekua nikijiuliza sasa hii credit nayo mtumia anawasiliana na nani?

Mbaya zaidi nikimwambia njoo basi nami niweze kuliwazika japo kwa kuwa karibu nae, utasikia visingizio kibao, mara nina mitihani, ohh nimefunga chuo lakini naenda kwanza nyumbani, sasa simuelewi kabisa, na pia sidhani kama ananipenda maana nimemmega mara moja tu.

jamani naombeni ushauri wenu wa dhati maana nafikiria kuachana nae na kutafuta anayejua kumlea mwanaume kijana kama mimi bila ya kua na tamaa tamaa.

natanguliza shukrani zangu wadau kwa kushiriki kwenu kunipa ushauri
 
Kwa mabinti wa aina hiyo....wewe ni shefa/mjomba....mtoa fedha. ujue kuna anayemega bila kutoa mia, kuna anayefaidi vocha zako na kuna ambaye ana-show-off naye (tozi flani)

Sasa amua mwenyewe, kwani uliomba ushauri wakati unamtongoza?
 
Kwa mabinti wa aina hiyo....wewe ni shefa/mjomba....mtoa fedha. ujue kuna anayemega bila kutoa mia, kuna anayefaidi vocha zako na kuna ambaye ana-show-off naye (tozi flani)

Sasa amua mwenyewe, kwani uliomba ushauri wakati unamtongoza?
sikuomba ushauri lakini sasa si ndo lishanifika mkuu. tena wale mabinti wanaosoma pale chuo ni njaa sana, vinapenda sana pesa yaani imekua ni hulka yao
 
Si utafute 1 na uoe tu? utahangaika na hao wa ku-pass time mpaka lini?umeyataka mwenyewe.Unachomiliki mwenyewe kina raha yake,la sivyo kubali kushea na wenzio hivohivo.
 
Si utafute 1 na uoe tu? utahangaika na hao wa ku-pass time mpaka lini?umeyataka mwenyewe.Unachomiliki mwenyewe kina raha yake,la sivyo kubali kushea na wenzio hivohivo.
kuoa bado mdada maana nami bado nasoma, hata umri haujafikia, lakini kama kijana nahitaji kuwa na mwenza na sasa ndio naanza maandalizi ya kumtafuta wa kuoa, si unajua tena vigezo wengine havijakidhi
 
Pole Gudboy kwa yanayokusibu. sikuzote hawa wasichana wa chuo wana matatizo sana sijui kwa nini yani kati ya kumi 1 au 2 ndo utakuta hawana hizo tabia za kishenzi. wanaeka pesa mbele na zawadi wanasahau kwamba wanamuumiza yule anayewapenda ki ukweli. halafu hata ukimmega haimuumi hivo kwa sababu ndo walivyo ni part ya maisha yao ya kila siku ya chuo.Pia kummega mtu mara nyingi sio kipimo cha mapenzi kwamba anakupenda hiiivo.

Ushauri: anza kwa kumnyimahivo vitu unavyompa. Zingatia masomo yako. ukija duniani huku baada ya kusoma utatukuta tumejaa tele wenye adabu na wasio na tabia ya kuomba omba hovyo. au imekaaje Gudboy?? and you better be a good boy kama unavyojiita.
 
kuoa bado mdada maana nami bado nasoma, hata umri haujafikia, lakini kama kijana nahitaji kuwa na mwenza na sasa ndio naanza maandalizi ya kumtafuta wa kuoa, si unajua tena vigezo wengine havijakidhi

Unasoma darasa la ngapi?
 
kuoa bado mdada maana nami bado nasoma, hata umri haujafikia, lakini kama kijana nahitaji kuwa na mwenza na sasa ndio naanza maandalizi ya kumtafuta wa kuoa, si unajua tena vigezo wengine havijakidhi
Kumbe bado mtoto?Nakushauri achana na ngono zingatia masomo.na Nani kakudanganya huwezi ishi bila demu?
 
sikuomba ushauri lakini sasa si ndo lishanifika mkuu. tena wale mabinti wanaosoma pale chuo ni njaa sana, vinapenda sana pesa yaani imekua ni hulka yao
Si kwasababu mnawapa? au? haidawahi kunikuta ila tabia ya kuomba omba inakera mbaya yani!
 
Kumbe bado mtoto?Nakushauri achana na ngono zingatia masomo.na Nani kakudanganya huwezi ishi bila demu?

ZD hujambo mchumba wangu. Habari ya asubuhi. Leo naona watoto wanataka ushauri. Dunia inakwisha.
 
Kumbe bado mtoto?Nakushauri achana na ngono zingatia masomo.na Nani kakudanganya huwezi ishi bila demu?
ZD usimdanganye! mwache aishi anachoamini......furaha ya maisha inakuwepo kwenye kuishi unachoamini na si vinginevyo.

wewe ulikuwa humegani ukiwa shule? au ulikuwa unatafuta wa kukumega ukihitai then unalala mbele.
 
kumnyimahivo vitu unavyompa[/COLOR]. Zingatia masomo yako. ukija duniani huku baada ya kusoma utatukuta tumejaa tele wenye adabu na wasio na tabia ya kuomba omba hovyo. au imekaaje Gudboy?? and you better be a good boy kama unavyojiita.

We ulikuwa unanyimwa? Acha kumbania mwenzio.
 
Namwona Carmel kwa mbaali. Hujambo mpenzi wangu. Msaidie huyu mtoto mwanafunzi anayemega mwanafunzi mwenzie.
 
JS, no offence intended, ulishasoma chuo chochote?
 
ZD habari ya asubuhi mchumbangu. Nakuona unachungulia.
 
ZD usimdanganye! mwache aishi anachoamini......furaha ya maisha inakuwepo kwenye kuishi unachoamini na si vinginevyo.

wewe ulikuwa humegani ukiwa shule? au ulikuwa unatafuta wa kukumega ukihitai then unalala mbele.
Mimi simdanganyi ila hawa watoto sometimes wanapenda mambo ya kikubwa yasiyowahusu.Kuhusu swala la kumegana ,sisi enzi za mwalimu tulikuwa hatufanyi hayo.Ni masomo tu.si unaona maadili yanavyobadilika siku hizi?
 
Dogo huyu binti wewe humuwezi hebu niPM utuachie sisi mapedeshee tumgalamie
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…