Je niachane nae?

ah, kids will always be kids
 

goodboy tafaddhali hebu nipe contacts za huyo msichana,
nataka niwafundishe kitu,,,,,,,,na contacts za wenzake pia.
 
Mama Msindima nakupa masaa sita ya kunitaka radhi. Lol! Liyumba? Si afadhali ungenifananisha na Athumani Ali Maumba?

Yaani hata sikutaki radhi kaka,soma page 4 ya hii mada kuna swali nilikuuliza.
 
goodboy tafaddhali hebu nipe contacts za huyo msichana,
nataka niwafundishe kitu,,,,,,,,na contacts za wenzake pia.
yaani wewe boss unamtaka demu wangu, unataka kutumia pesa zako kwa demu wangu, nimeomba ushauri na sio kuomba ahudumie na mtu mwingine, maana mie sikuzoea kuhonga. Baadhi niliokuwa nao ndio walikua wakinipa mshiko pamoja na kunipigia simu
 
Si utafute 1 na uoe tu? utahangaika na hao wa ku-pass time mpaka lini?umeyataka mwenyewe.Unachomiliki mwenyewe kina raha yake,la sivyo kubali kushea na wenzio hivohivo.


ZD hayo maneno yanachoma ujue!
 
Mkku Goodboy nadhani cha muhimu hebu mzukie hukoMzumbe kisham mkalishe chini umweleze kuwa anavofanya sio..kama yupo serious aseme na kama hayupo basi hakuna haja ya kuendelea naye atakuja kukusumbua.
 
ZD hayo maneno yanachoma ujue!
Bro,inaelekea una wivu sana!Mama Kaizer huko nyumbani haendi sokoni peke yake wala saluni.Na kama ni mwislamu basi kila siku inabidi avae kininja.
Na huyo kijana wako Gudboy amejitakia(angalia hiyo post ya Lilyflower uone hizo namba 1-5.)
 

...kakugeuza ATM huyo, achana nae...
 

Bro,inaelekea una wivu sana!Mama Kaizer huko nyumbani haendi sokoni peke yake wala saluni.Na kama ni mwislamu basi kila siku inabidi avae kininja.
Na huyo kijana wako Gudboy amejitakia(angalia hiyo post ya Lilyflower uone hizo namba 1-5.)


ZD...saluni nampeleka ni kweli, ila gengeni anaenda peke yake...🙄

Wivu upondo maana nimeshtuka kweli eti kukubali kushare..

Hiyo orodha ya LF nadhani kwa walewa mujini, kuna watu wanatumia magari lakini kadi si za kwao na wala hawajuagi kubadilisha tairi, kumbe ndo ATM zinafanya kazi ivo!

Bora kujikatia shauri tu na kutulia...
 
For your concept of "generalization" you look to be naive
 

hahahhaha,you make me laugh! its true.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…