mamamzungu
JF-Expert Member
- Nov 17, 2019
- 2,554
- 4,271
Mimi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndiyo maana.Habari zenu wakuu
Nimerudi tena kuomba ushaurii tena juu ya hatima ya mahusiano yangu
Miaka yangu ni juu ya 24 chini ya 28[emoji45][emoji45]
Ndiyo maana.
Kwahiyo wote wanakula kwa machoHabari zenu wakuu
Nimerudi tena kuomba ushaurii tena juu ya hatima ya mahusiano yangu
Umenikumbusha tamthilia ya Orodha.
Frank-Padri James
Salim-Salim
Alex- Bwana Heko
Kijana 1- Kitunda
Wewe mamamzungu ndio Furaha [emoji23][emoji23]
Hilo tunda litaozaa sasaa wapee watu walileee madam...
Kwa hiyo unakwea pipa kwenda kwa mume wa mtu kukiss then nothing?
Waache wote ukue kidogo mdogo wangu
Hakuna anayekupenda kweli hapo
Huyo Frank kashaona hueleweki
Salim mume wa mtu
Alex mnafanana akili
Achana nao wote jipe muda hata mwaka dont rush into relationship ndo shida zako zinapoanzia
Tafuta kitu cha kukuweka busy, soma vitabu, movie, kwaya nk
Mtu ambaye hamjanyanduana unaanzaje kumuita mpenzi
Hebu tulia kwanza uwachunguze wote. Wa ukweli atajulikana tuu, hongera sana kwa kujitunza mdogo wangu, mshirikishe Mungu hatakuacha upotee
Kwahiyo wote wanakula kwa macho
HahahahahahahahahahhahaAisee sijajua Kama inawezekana kukaa single yaani Ka simu kangu kasiingize hata Ka sms cha babe umekula [emoji3][emoji3]
Ngoja nijaribu
Mapenzi yanarun dunia.Siti ya mbele nikisubiri wachangiaji