great dream
Member
- May 15, 2024
- 8
- 14
Mimi ni muhitimu wa kidato Cha sita mchepuo HGK. Nahitaji kujua ni course ipi nzuri na yenye fursa ya ajira naweza kwenda kusomea chuo kikuu?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na ukipata serikalin ushaula n hela nje njeKasomee Human Resource (HR) iyo huwez kosa ajira kama sio serikalin ni makampuni binafsi hukosi humo
Kwa sasa hakuna program yenye fursa za ajira za uhakika kwa mtu asiye na connection.Mimi ni muhitimu wa kidato Cha sita mchepuo HGK. Nahitaji kujua ni course ipi nzuri na yenye fursa ya ajira naweza kwenda kusomea chuo kikuu?
Wazo zuri sana ila kama katoka straight from school Kwa elimu ya Open University inaweza mpa shida Kwa sababu elimu ya pale unahitaji uwe committed mnooo na nidhamu ya muda ndo rasilimali mama Kwa sababu hakuna muingiliano wa Moja Kwa Moja wa mwanafunzi na mwalimu isipokua Kwa baadhi ya kozi pekeeHR NA INTERNATIONAL RELATIONS
UKIWEZA KASOME OPEN UNIVERSITY OF DAR ESALAAM
Anatakiwa awe msomaji,Wazo zuri sana ila kama katoka straight from school Kwa elimu ya Open University inaweza mpa shida Kwa sababu elimu ya pale unahitaji uwe committed mnooo na nidhamu ya muda ndo rasilimali mama Kwa sababu hakuna muingiliano wa Moja Kwa Moja wa mwanafunzi na mwalimu isipokua Kwa baadhi ya kozi pekee
asante sanaKwa sasa hakuna program yenye fursa za ajira za uhakika kwa mtu asiye na connection.
Program za afya, ualimu na jeshi zilikua za uhakika ila kwa sasa tunatembeza wote CV
Cha msingi katika hizo program wanazokushauri, ukipata fursa kapige shule seriously, tafuta connection na jiandae kufanya interview za kutosha tu.
Ukiweza kujiongeza kufanya biashara huku upo chuo itakuwa good japo ni ngumu kubalance masomo na biashara.
Ukweli ni kwamba wahitimu wa kila fani wapo wengi mno kuliko mahitaji kama unavyoona kwa sasa asilimia zaidi ya 95 ya wanafunzi wa form six wanafaulu kwenda university
Umefika hadi six hujui una malengo gani? bure kabisa
asante kwa maoni yako,lakini kila mtu anasafiri yake ya maisha.Niko katika harakati ya kutafuta njia bora kwangu.Ningeshukuru ushauri wa kujenga ili niweze kufanya maamuzi sahihi.Umefika hadi six hujui una malengo gani? bure kabisa
Ninawafahamu km 4 wamesoma hiyo kozi, wanasaga lami tyuuh mtaani.Kasomee Human Resource (HR) iyo huwez kosa ajira kama sio serikalin ni makampuni binafsi hukosi humo
😄😁😆 acha uongoNinawafahamu km 4 wamesoma hiyo kozi, wanasaga lami tyuuh mtaani.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ndo nakuambia sasa, tena m1 wa kike, lol[emoji1][emoji16][emoji38] acha uongo