Ndugu km kweli unafanya kazi serikalini sasa inakuwaje unataka sponsor wa kukulipia MBA? Amka usingizini ndugu yangu. Mim nilikuwa nafanya kazi ya kimshahara kidogo bt nikaweka nia ya kufanya masters na hadi sasa nimefanya masters frm coventry university and am lecturing in one of the government academic institutes in Tanzania. Sina nia ya kujisifu bt nataka tu uamke kuwa u can still sponsor urself.
Pia khs hizo scholarship za nje zipo bt criteria kubwa yw kipata ni ur outstanding performance coz the competition is very stiff