Savagethug
New Member
- Feb 28, 2022
- 3
- 0
Shikamooni,
Mimi ni form four graduate na Nina mpango wa kwenda college for further studies. Nina division 2 na nimebalance science subjects zangu zote pamoja na computer studies Kwa wastan wa "c".
Napenda sana mambo ya graphics sana sana motion graphics and animation.
Nilikuwa nataka nikasomee diploma ya multimedia and film technology kama major ila naogopa nitakosa chance ya kupata wide range of choices mbeleni.
Wazo liliopo kichwani ni kwamba either nisome computer Science alafu haya maswala ya multimedia na film technology nifanye kama hobby AU nichukue risk ya kuzama katika diploma ya multimedia and film technology nifate ndoto zangu. Ila Bado nipo njia panda sijui nifanyaje.
Ningeomba ushauri kutoka kwenu ili niwe safe baadae nisifanye kitu ambacho kitanifunga vibaya maishani especially financially.
Mimi ni form four graduate na Nina mpango wa kwenda college for further studies. Nina division 2 na nimebalance science subjects zangu zote pamoja na computer studies Kwa wastan wa "c".
Napenda sana mambo ya graphics sana sana motion graphics and animation.
Nilikuwa nataka nikasomee diploma ya multimedia and film technology kama major ila naogopa nitakosa chance ya kupata wide range of choices mbeleni.
Wazo liliopo kichwani ni kwamba either nisome computer Science alafu haya maswala ya multimedia na film technology nifanye kama hobby AU nichukue risk ya kuzama katika diploma ya multimedia and film technology nifate ndoto zangu. Ila Bado nipo njia panda sijui nifanyaje.
Ningeomba ushauri kutoka kwenu ili niwe safe baadae nisifanye kitu ambacho kitanifunga vibaya maishani especially financially.